MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Tena kwa yule mkuu mwingine angeweza kuongeza siku moja ya ofa so tungeonana j5 kabisa... Huyu mkuu wa sasa anatamani afute Hata hizi siku,anyway,Mungu anamuona anavyotuoneadah¡ mkuu kabana aisee hii long weekend ilitakiwa itokee enzi zile za mkuu mwingine. kungekua na mafuriko na overproduction plus over supply.