Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
- Thread starter
- #61
ha ha ha, hako katoto kana bahati.
Labda mama ake aliwapenda hao watu wakati mjamzito.
Kama bahati kweli kanayo. . . yani kila aendako anapendwa.
Hahahaha hamna bana. Wengine hata walikua hawajulikani kipindi hicho ila ndio kama hivyo kama ingewezekana kuwasingizia sidhani hata kama wangehangaika kukataa.