Looking for a beautiful to marry

mie mwenyewe hapo nilipata mkanganyiko!!!!!!!

may be a Tanzanian by registration

Kuna wajaluo wa kenya na wa tz, ukienda Rorya, na hata Serengeti even Tarime(Sirari) unawakuta wajaluo wengi tu. Hata mbunge wetu Wenje pia mjaluo. Waolewaji msitie shaka.
 
Wachumba kibao vipi mkono sweta umeshusha? Wakenya hakunaga iyo
 
Kuna wajaluo wa kenya na wa tz, ukienda Rorya, na hata Serengeti even Tarime(Sirari) unawakuta wajaluo wengi tu. Hata mbunge wetu Wenje pia mjaluo. Waolewaji msitie shaka.

okay mie nilikuwa sijajua ati....

sijui keshampata huyo beatiful to marry
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…