Looking for a friend only for chatting

Looking for a friend only for chatting

Seat ya dereva ni ya Mr Devil anawazoom tu mtoa mada na rafiki yake mtarajiwa wanavyojifanya marafiki.

Mtakuja kukulana vibaya mpaka mtajishangaa kenge nyie.
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nadhani unaota wewe!

Zaidi ya kuhisi [hisia] huna ushahidi wowote ule.

Unahisi tu kuwa ni mimi.

Mimi siyo huyo unayedhani ni mimi!
Nadhani yai nililotema hapo ndio limemchanganya. Anadhani ni wewe peke yako ndio unaliweza!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom