Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 50
Oh. Nimependezwa na sifa za huyu ms bt nataka kujua kama hajawahi kukutana na mme, tha is if she is virgin. If yes, we may proceed with the marriage arrangements after confirmation.
...siku hizi mnatafutana uchumba utadhani mnakwenda kutoana kafara,
si muanzishe maduka msimame kama midoli mkichaguana?
Najiandaa kuja VENICE
...siku hizi mnatafutana uchumba utadhani mnakwenda kutoana kafara,
si muanzishe maduka msimame kama midoli mkichaguana?
Dah!!! Nije na wife tena?? I am coming alone we si mwenyeji wanguKaribu sana mkuu..yani utashindwa mwenyewe adventure ya Venice, special tour kwenye canals ukiuangalia mji pande zote..
Uje na wife!!
Ndo nilichomwambia Babaubaya
............ lol
Hello wana JF,
Rafiki yangu anatafuta mume wa kufa na kuzikana.
Vigezo ma masharti kuzingatiwa. Naomba niwasilisha kama nilivyotumwa.
Msomi
Miaka awe btn 30-38
Rangi-any
Kabila- any
Religion-Mkristo
Asiwe mnene i mean over weight wala kuwa na ****** makubwa
asiwe na kitambi
asiwe na upara
Urefu wa wastani
Ambae hajawahi kuoa
Loving na awe na mapenzi ya dhati,
caring,
Mvumilivu,
Muelewa,
Sifa za shosti ni hizi
degree holder, ni mweusi, mwembamba, urefu wa wastani, sina mtoto wala sijawahi kuolewa, Nina miaka 27 na nina kazi.
Jamani rafiki yangu huyu bado hajajiunga na JF ila atajiunga soon. mwenye sifa ani pm nitamfikishia maana huyu ni rafiki yangu. Nawasilisha. Karibuni shemeji watarajiwa
Dah!!! Nije na wife tena?? I am coming alone we si mwenyeji wangu
hello wana jf,
rafiki yangu anatafuta mume wa kufa na kuzikana.
Vigezo ma masharti kuzingatiwa. Naomba niwasilisha kama nilivyotumwa.
Msomi
miaka awe btn 30-38
rangi-any
kabila- any
religion-mkristo
asiwe mnene i mean over weight wala kuwa na ****** makubwa
asiwe na kitambi
asiwe na upara
urefu wa wastani
ambae hajawahi kuoa
loving na awe na mapenzi ya dhati,
caring,
mvumilivu,
muelewa,
sifa za shosti ni hizi
degree holder, ni mweusi, mwembamba, urefu wa wastani, sina mtoto wala sijawahi kuolewa, nina miaka 27 na nina kazi.
Jamani rafiki yangu huyu bado hajajiunga na jf ila atajiunga soon. Mwenye sifa ani pm nitamfikishia maana huyu ni rafiki yangu. Nawasilisha. Karibuni shemeji watarajiwa
Dena kwani red sina shida gani shosti? mwenyewe yuko serious anatafuta[/QUOTE
Ni wewe ama mwingine! Si useme tu ni wewe! Mara looking for mara sina mtoto??????????????????????????/
Nashukuru hadi sasa sijao so that is an added advantage to meHapo sasa, mkeo ajue ulifunga safari yote Venice..utakuta mwana si wako (utani)
Mgeni uje mwenyeji apone..ha ha
Hello wana JF,
Rafiki yangu anatafuta mume wa kufa na kuzikana.
Vigezo ma masharti kuzingatiwa. Naomba niwasilisha kama nilivyotumwa.
Msomi
Miaka awe btn 30-38
Rangi-any
Kabila- any
Religion-Mkristo
Asiwe mnene i mean over weight wala kuwa na ****** makubwa
asiwe na kitambi
asiwe na upara
Urefu wa wastani
Ambae hajawahi kuoa
Loving na awe na mapenzi ya dhati,
caring,
Mvumilivu,
Muelewa,
Sifa za shosti ni hizi
degree holder, ni mweusi, mwembamba, urefu wa wastani, sina mtoto wala sijawahi kuolewa, Nina miaka 27 na nina kazi.
Jamani rafiki yangu huyu bado hajajiunga na JF ila atajiunga soon. mwenye sifa ani pm nitamfikishia maana huyu ni rafiki yangu. Nawasilisha. Karibuni shemeji watarajiwa