Looking for a husband

Looking for a husband

ha haaaaaaaaaaa, pole. Mimi niliolewa nikiwa na miaka 24. ila dada yangu aliolewa akiwa na miaka 35, na siku zote tupo nyumbani sikumwona akitafuta mkaka wa kumuoa. ndo maana nadhani siku hizi dunia imegeuka.
kwani kuolewa lazima? kama umri unaenda basi!

Shosti unafanya nini huku kwa mume kama unaona kuolewa SIO MUHIMU! Au kwa vile umeolewa ndo maana unananga wenzako. Huyu dada yako alikuwa anakuambia nyendo zake zote? si ameona biological clock inalia akaanza mbele fasta? Hee! u
 
Bado tu pm hazijajaa? vumilia truly utampata tu mwenza wako
 
Shosti unafanya nini huku kwa mume kama unaona kuolewa SIO MUHIMU! Au kwa vile umeolewa ndo maana unananga wenzako. Huyu dada yako alikuwa anakuambia nyendo zake zote? si ameona biological clock inalia akaanza mbele fasta? Hee! u

Shosti mi sijasema walioolewa watoke kwenye ndoa, nasema kama hujampata wa kukuoa usilazimishie. na usinielewe vibaya, siwanangi wasioolewa, kwani mimi pia nisingeolewa tungekuwa kwenye chungu kimoja.
Dada yangu nilikuwa nafahamu nyendo zake, enzi zile wakati hakuna mitandao kama sasa, na aliolewa na mtu aliyekuwa hakai maeneo ya pale kwetu... tena alifanya kubebewa bango amkubali maana alisema hamwamini sababu hajamfahamu muda mrefu. Tunamshukuru Mungu wanaishi kwa raha mustarehe
 
ha haaaaaaaaaaa, pole. Mimi niliolewa nikiwa na miaka 24. ila dada yangu aliolewa akiwa na miaka 35, na siku zote tupo nyumbani sikumwona akitafuta mkaka wa kumuoa. ndo maana nadhani siku hizi dunia imegeuka.
kwani kuolewa lazima? kama umri unaenda basi!
FP how you doin umepotea kweli
 
Nipo rafiki, majukumu wakati mwingine yanafanya nipotee. Nisije na mimi nikaanza kupanga mstari wa kutafuta mchumba bure, na uzee huu!
Sasa nikikupa kazi ya kunitafutia mchumba utaiweza kweli lakini si bado haujaozesha naweza kuja kugonga hodi kwako
 
Hello wana JF,
Rafiki yangu anatafuta mume wa kufa na kuzikana.

Vigezo ma masharti kuzingatiwa. Naomba niwasilisha kama nilivyotumwa.
Msomi
Miaka awe btn 30-38
Rangi-any
Kabila- any
Religion-Mkristo
Asiwe mnene i mean over weight wala kuwa na ****** makubwa
asiwe na kitambi
asiwe na upara
Urefu wa wastani
Ambae hajawahi kuoa
Loving na awe na mapenzi ya dhati,
caring,
Mvumilivu,
Muelewa,

Sifa za shosti ni hizi

degree holder, ni mweusi, mwembamba, urefu wa wastani, sina mtoto wala sijawahi kuolewa, Nina miaka 27 na nina kazi.

Jamani rafiki yangu huyu bado hajajiunga na JF ila atajiunga soon. mwenye sifa ani pm nitamfikishia maana huyu ni rafiki yangu. Nawasilisha. Karibuni shemeji watarajiwa
duh umejieleza what yu learned lakini hukueleza vigezo vyako kama ulivyovieleza vya mtu unaemtaka....huh....utadoda...toa CV yako tena,jee umepima pia...
 
Sasa nikikupa kazi ya kunitafutia mchumba utaiweza kweli lakini si bado haujaozesha naweza kuja kugonga hodi kwako

Nitafunga kwa ajili ya mchumba wa binti yangu, naamini atatoka kwa Bwana............... kama utakuwa wewe tusubiri majibu ya MAOMBI
kutafuta binti mwingine mimi nitaanzia wapi na uzee huu? si watanishangaa? kwani wewe rafiki mdomo zege? anza tu taratibu utapata
 
Nitafunga kwa ajili ya mchumba wa binti yangu, naamini atatoka kwa Bwana............... kama utakuwa wewe tusubiri majibu ya MAOMBI
kutafuta binti mwingine mimi nitaanzia wapi na uzee huu? si watanishangaa? kwani wewe rafiki mdomo zege? anza tu taratibu utapata
Hewaaaa ndio uzuri mtu ukiwa unaongea na wamama vizuri angekuwa mbaba angeisha nitoa nduki kwa kweli ile NOVENA uliyoniambia wala siachi kabisa
 
wengine huwa ni mas....ga humu JF wanajidai ni wadada nyie mjichanganye tu ndo atakapo jitokeza ati utumbukize kwenye matope
 
Hello wana JF,
Rafiki yangu anatafuta mume wa kufa na kuzikana.

Vigezo ma masharti kuzingatiwa. Naomba niwasilisha kama nilivyotumwa.
Msomi
Miaka awe btn 30-38
Rangi-any
Kabila- any
Religion-Mkristo
Asiwe mnene i mean over weight wala kuwa na ****** makubwa
asiwe na kitambi
asiwe na upara
Urefu wa wastani
Ambae hajawahi kuoa
Loving na awe na mapenzi ya dhati,
caring,
Mvumilivu,
Muelewa,

Sifa za shosti ni hizi

degree holder, ni mweusi, mwembamba, urefu wa wastani, sina mtoto wala sijawahi kuolewa, Nina miaka 27 na nina kazi.

Jamani rafiki yangu huyu bado hajajiunga na JF ila atajiunga soon. mwenye sifa ani pm nitamfikishia maana huyu ni rafiki yangu. Nawasilisha. Karibuni shemeji watarajiwa

Are you looking for a husband or a fiance?
 
Yegomasika nitakusemea kwa wife..usije ukaoa kisiri siri tena, namwambia ajiunge JF kukata mzizi wa fitina!!.. kwanza hujashtukia ni ndume hilo?! ha ha
Ooh mbona unataka kuniwangia bana, kwani nani alikwambia kama wavuvi huwa wanaoa~sisi wavuvi tuna msemo watu bana, unasema "We are not a one woman men". He he he!.
 
Kaza buti Truli utampata humuhumu tushaona mafanikio ya mmoja kasema amepata na wewe fata nyuma. Ooops kumbe sio wewe mwambie shoga hata ukiwa wewe hamna noma
 
mie niko tayari, ila sitaki wa kufa na kuzikana, maana sitegemei kufa leo au kesho, awe tayari kubadirisha hiyo kauli ya kufa na kuzikana, na iwe kuishi milele!
 
Back
Top Bottom