Now you are talking....Eeehh hapo kwnye ndugu sijajua aiseee
Ngoja nimtafutie mdada mmoja mdogo mzur
Kweli kabisa mkuuSiyo mpaka uwe wewe hata ndugu yako basi.
Now you are talking....
Na mimi usinisahau[emoji14][emoji14][emoji14]Hhaahhaa[emoji28][emoji28]
Na mimi usinisahau[emoji14][emoji14][emoji14]
Siyo mbaya na me ukinikumbuka jamani... Au unataka na me niwe kama mtoa maada?Kwnye kukutafutia partner au
Nishakua kuwadi mm jaman[emoji16]
Siyo mbaya na me ukinikumbuka jamani... Au unataka na me niwe kama mtoa maada?
Ayaaa mkuu tunasubiri mambo mazuri.[emoji16][emoji16][emoji16]sawa mkuu ngoja niingie kazini
Ayaaa mkuu tunasubiri mambo mazuri.
Hahahah...Sawa nkipata mkuu ntakushtua chap
Vigezo mbona hujanambia au ilmrad awe anapumua?
Kutaja vigezo naogopa macho ya watu[emoji85]Sawa nkipata mkuu ntakushtua chap
Vigezo mbona hujanambia au ilmrad awe anapumua?
nina watoto wanne, nina miaka 27, nina biashara ya genge je naweza kuja kuungana na wewe tujenge maishaHabari Ndugu,
naomba niende moja Kwa moja kwenye point.
Nimekuwa single Kwa muda mrefu Sana na nimejaribu kutafuta mahusiano Kwa muda mrefu kidogo(japo sijakazania saana) lakini naona kama sipati mtu sahihi na aliye seriously.
Kwa sasa naomba kama kuna msichana, mdada ama Mwanamke yoyote aliye single na mpweke tuungane Kwa pamoja kuliwazana, kama tutaendana na kukubaliana zaidi basi tutaweka mipango na mikakati zaidi.
Miaka yangu ni 35 Naishi Dar es salaam, Muajiriwa najitegemea (sio marioo)
Napenda msichana wa age za 23 na kuendelea. Dini yoyote (Mimi Christian)
Mambo mengine tutaelezana zaidi karibun Sana DM
Kutaja vigezo naogopa macho ya watu[emoji85]
Hawakawii kusema 'na wewe babu unatafuta mchuchu, si utulie tu usubiri kufa, waja wana maneno'.Usiogope mkuu
We vitaje ata kwa mafumbo ntakuelewa
Hujui JamiiForums ni where we dare to talk openly
Hongera Kwa watoto wa 4, karibu Sana tuungane kama ni mtu sahihi hakuna shidanina watoto wanne, nina miaka 27, nina biashara ya genge je naweza kuja kuungana na wewe tujenge maisha
Hawakawii kusema 'na wewe babu unatafuta mchuchu, si utulie tu usubiri kufa, waja wana maneno'.
Labda nikuje PIEMU![emoji38][emoji38][emoji38]we usiogope bana si uko nyuma ya keyboard amna mtu anakujua
Ayaaa nitakaribia... .Hahah aya bana
Karibu mkuu