Looking for a partner

nina watoto wanne, nina miaka 27, nina biashara ya genge je naweza kuja kuungana na wewe tujenge maisha
 
Usiogope mkuu
We vitaje ata kwa mafumbo ntakuelewa
Hujui JamiiForums ni where we dare to talk openly
Hawakawii kusema 'na wewe babu unatafuta mchuchu, si utulie tu usubiri kufa, waja wana maneno'.
 
Hawakawii kusema 'na wewe babu unatafuta mchuchu, si utulie tu usubiri kufa, waja wana maneno'.

[emoji38][emoji38][emoji38]we usiogope bana si uko nyuma ya keyboard amna mtu anakujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…