Nakubaliana nawe mkuu, yaani sometimes unasoma swali la kijana humu unaona hata aibu na kujiuliza mbali na jukwaa la chit chat ambalo linaeleweka kuwa linahusiana na masuala ya utani utani kwanini watu wanatumia JF kuleta mambo yasiyo na maana kwenye majukwaa ya mambo serious, unakosa jibu.Ukiacha huyu, kuna mwingine anajiita Kelvin.pcb (I hope kakosa mkopo wa HESLB) nae anaandika takataka kila sekunde. Nadhani kwa leo kaanzisha si chini ya thread 5 za kipuuzi kama hii tunayosoma. They are boring oooohhh!
Mie sina haja ya kujihofia maana nishazeeka mkuu shida ipo kwa vijana wetu kuwafundisha waweze kujitambua.jihofie kwanza wewe mwenyewe....
Unfortunately hilo la umri halijawekwa sawa, nadhani lingesaidia sana kudhibiti hawa vijana wa primary.Hivi JF imeweka age limit ya kujoin ni miaka mingapi? Labda wareview au kuna wengine wanaforge umri kwenye kuregister...
hello..everybody ma name is humphrey richard from tabata-dar es salaam am here looking for a women age between 20-28... who knows the trully meaning of love@ if you think u can handle pls contact me through:-
humphrey.5@live.com
+255 (07) 659 135260
all sms will be replied .