Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
π€£π€£π€£ππππππ€£π€£ππππ€£π€£ππππ€£π€£π€£ππππ€£π€£π€£π€£π€£ππKuna hospital dodoma imebadilishwa jina recently naomba uwahi mapema ukafungue file
Mimi ni lazima nikuonje kwanza, mikiielewa ladha yake ndiyo nitajitwisha.28years old female
Degree holder
Polite and very humble lady
Employed
Single With no children
Looking for
God fearing man
Polite and humble guy
Christian akiwa catholic itapendeza
Age from 30-35
Educated(akiwa na masters itapendeza)not important but kuondoa infiriority complex later on since i love education
Stable and Matured man who need to settle down
If you know you havent finish yet to play around please dont pm me,na Mungu awabariki.
Dont ask mtaani hawapo[emoji23]
I havent met him yet,so maybe yupo humu jf plz pm me.
We umetulia lakini, je hauna watoto wa kuficha kwa ndugu zako?28years old female
Degree holder
Polite and very humble lady
Employed
Single With no children
Looking for
God fearing man
Polite and humble guy
Christian akiwa catholic itapendeza
Age from 30-35
Educated(akiwa na masters itapendeza)not important but kuondoa infiriority complex later on since i love education
Stable and Matured man who need to settle down
If you know you havent finish yet to play around please dont pm me,na Mungu awabariki.
Dont ask mtaani hawapo[emoji23]
I havent met him yet,so maybe yupo humu jf plz pm me.
Wanawake kazini siku hizi njia ni nyingi sna za biashara hasa nyakati hzi japo nafahamu mume anapatikana popote lkn si kwa staili hii, siiamini hta kdgo.
Km tayar uko humu na unauhitaji huo endelea kuimarisha urafiki na unaokutana nao humu nijiuavyo popote pale alipo mwanamke hajawahi kuacha kutongozwa na nafasi hiyo ndio uitumie kuelezea hitajio lako tamaa weka pembeni end of the day utajua mbivu utajua mbichi
Hapa hapa jamvini , ila ulikuwa bado mdogo sana nilipotongoza mdada wa hapa kwa miadi ya kumuoa [emoji3] akanikimbia siku ya pili tukiwa grand lodge huko Morogoro eti kisa naonekana sina future zaidi ya kuendekeza starehe .Mbali wapi tena??
Vigezo ulivyoviweka ninavyo isipokuwa kimoja ambacho mimi ni devil fearing
Kakosea tena? Kingereza ni kosa? Nilidhan lugha tu, na labda katumia kingereza sababu kingereza kipo straight na clear, angetumia kiswahili maelekezo yangekuwa mengi, mfano aliposema inferiority complex kwa kiswahili angeandika nini mzee? Mbona kama yangekuwa maneno mengi?Shida umeji brand mno na kiingereza chako....ukidhani ndo watakushobokea sanaa na kukupa thamani ..BIG NO maisha hayataki kujikweza sanaa hujui kwamba watu wanasubiri anguko lako na mavyeti vyako.
Kwamba upikiwe, kufuliwa, kunyoosjhewa nguo, kubrashiwa viatu, kupokelewa..he we kaka wewe...ehe na wewe utafanya nini sasa kwa mkeo?yaan hata kubrash viatu huwezi? Kisa umeoaπHawa wanawake wanao andika andika vingereza ngereza vingi vingi kwenye kutafuta mume.......
Hope ni wasumbufu waki ingia ndoani maana ntaitaji kufuliwa,kupikiwa,kunyooshewa nguo, kubrashiwa viatu, kupokewa nikirud nyumbani
Sasa yeye atakuja na mara 50/50 mara tugawane majukumu mara haki sawa....
YOTE NILIYO YAANDIKA IS NOT SERIOUSLY
Nilikua NATANIA TU πππ€π€π€πππ€π€π
Mimi ni lazima nikuonje kwanza, mikiielewa ladha yake ndiyo nitajitwisha.
πππππππMimi nina sifa zote, mpaka masters ila sina hela, sina ajira wala sina biashara. Ni ungaunga mwana tu, kama hapa nipo nakomaa nifukuzie buku mbili la msosi mchana.
Hapo vipi?
Wanaume wa jf hawatoki mbinguni, ndo hao hao wa mtaani kwako, kazini kwako, na ndo hao hao unaokutananao small planet, kitambaa cheupe, warehouse, element, wavuvi.
Advantage uliyonayo ni kwamba wa huku hawakujui.
Hapa hapa jamvini , ila ulikuwa bado mdogo sana nilipotongoza mdada wa hapa kwa miadi ya kumuoa [emoji3] akanikimbia siku ya pili tukiwa grand lodge huko Morogoro eti kisa naonekana sina future zaidi ya kuendekeza starehe .
Wewe mmama najua sasa umezeeka , ila haujafa upo hapa jamvini , nakusalimia sana , unaendeleaje na future zako ?
Mungu alikusaidia sana maana ukweli sikuwa najua hata nini maana ya kuoa hivyo tungeishi kama kusaidiana kwenye hisia tu .
Huenda kwl cjui lolote ktk umri huo labda tu km umemaanisha kuhusu lesbian lkn ktk mahusiano haya ambayo ni lazima iwepo collaboration Kat yetu na nyinyi huniambii kitu kifupi hii staili hta akija muoaji kwel bdo changamoto ni nyingiYou are not a woman.ungekuwa labda ni a woman 28-45years ningekusikiliza,maana ndo utakuwa unajua challenges za mahusiano za this generation
Watu hawana jemaKakosea tena? Kingereza ni kosa? Nilidhan lugha tu, na labda katumia kingereza sababu kingereza kipo straight na clear, angetumia kiswahili maelekezo yangekuwa mengi, mfano aliposema inferiority complex kwa kiswahili angeandika nini mzee? Mbona kama yangekuwa maneno mengi?
Unaonja hadi ipatikane ladha, homa yoyote siyo kitu cha kuzuia maisha yasiende. Hakuna takayeishi milele zaidi kwa kuamua kuogopa.Endelea kuonja kuna homa ya ini huko,unadhani kuonja onja ni sifa,utaonja wangapi,??tangu uanze kuonja umetosheka??
Kwanini zisiwepo kwani unafikiri wewe na hiyo ID yako hata usingejitangaza unahisi vijana wasingekuja kukuomba uhusiano ?Kumbe hizi struggle hata zamani zilikwepo[emoji23]
Mi nafahamu siku zote mashabiki wa ile timu wengi ni wazee, afu kutwa kumdis OnyangoMimi kidogo umri umeenda. Naruhusiwa kutuma maombi? Sifa nyingine zote ninazo.
Huenda kwl cjui lolote ktk umri huo labda tu km umemaanisha kuhusu lesbian lkn ktk mahusiano haya ambayo ni lazima iwepo collaboration Kat yetu na nyinyi huniambii kitu kifupi hii staili hta akija muoaji kwel bdo changamoto ni nyingi