Looking for God fearing husband who is ready to settle

Looking for God fearing husband who is ready to settle

Kuna hospital dodoma imebadilishwa jina recently naomba uwahi mapema ukafungue file
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wanawake kazini siku hizi njia ni nyingi sna za biashara hasa nyakati hzi japo nafahamu mume anapatikana popote lkn si kwa staili hii, siiamini hta kdgo.
Km tayar uko humu na unauhitaji huo endelea kuimarisha urafiki na unaokutana nao humu nijiuavyo popote pale alipo mwanamke hajawahi kuacha kutongozwa na nafasi hiyo ndio uitumie kuelezea hitajio lako tamaa weka pembeni end of the day utajua mbivu utajua mbichi
 
28years old female
Degree holder
Polite and very humble lady
Employed
Single With no children

Looking for
God fearing man
Polite and humble guy
Christian akiwa catholic itapendeza
Age from 30-35

Educated(akiwa na masters itapendeza)not important but kuondoa infiriority complex later on since i love education

Stable and Matured man who need to settle down
If you know you havent finish yet to play around please dont pm me,na Mungu awabariki.

Dont ask mtaani hawapo[emoji23]
I havent met him yet,so maybe yupo humu jf plz pm me.
Mimi ni lazima nikuonje kwanza, mikiielewa ladha yake ndiyo nitajitwisha.
 
28years old female
Degree holder
Polite and very humble lady
Employed
Single With no children

Looking for
God fearing man
Polite and humble guy
Christian akiwa catholic itapendeza
Age from 30-35

Educated(akiwa na masters itapendeza)not important but kuondoa infiriority complex later on since i love education

Stable and Matured man who need to settle down
If you know you havent finish yet to play around please dont pm me,na Mungu awabariki.

Dont ask mtaani hawapo[emoji23]
I havent met him yet,so maybe yupo humu jf plz pm me.
We umetulia lakini, je hauna watoto wa kuficha kwa ndugu zako?
 
Wanawake kazini siku hizi njia ni nyingi sna za biashara hasa nyakati hzi japo nafahamu mume anapatikana popote lkn si kwa staili hii, siiamini hta kdgo.
Km tayar uko humu na unauhitaji huo endelea kuimarisha urafiki na unaokutana nao humu nijiuavyo popote pale alipo mwanamke hajawahi kuacha kutongozwa na nafasi hiyo ndio uitumie kuelezea hitajio lako tamaa weka pembeni end of the day utajua mbivu utajua mbichi

You are not a woman.ungekuwa labda ni a woman 28-45years ningekusikiliza,maana ndo utakuwa unajua challenges za mahusiano za this generation
 
Mbali wapi tena??
Hapa hapa jamvini , ila ulikuwa bado mdogo sana nilipotongoza mdada wa hapa kwa miadi ya kumuoa [emoji3] akanikimbia siku ya pili tukiwa grand lodge huko Morogoro eti kisa naonekana sina future zaidi ya kuendekeza starehe .

Wewe mmama najua sasa umezeeka , ila haujafa upo hapa jamvini , nakusalimia sana , unaendeleaje na future zako ?

Mungu alikusaidia sana maana ukweli sikuwa najua hata nini maana ya kuoa hivyo tungeishi kama kusaidiana kwenye hisia tu .
 
Shida umeji brand mno na kiingereza chako....ukidhani ndo watakushobokea sanaa na kukupa thamani ..BIG NO maisha hayataki kujikweza sanaa hujui kwamba watu wanasubiri anguko lako na mavyeti vyako.
Kakosea tena? Kingereza ni kosa? Nilidhan lugha tu, na labda katumia kingereza sababu kingereza kipo straight na clear, angetumia kiswahili maelekezo yangekuwa mengi, mfano aliposema inferiority complex kwa kiswahili angeandika nini mzee? Mbona kama yangekuwa maneno mengi?
 
Hawa wanawake wanao andika andika vingereza ngereza vingi vingi kwenye kutafuta mume.......

Hope ni wasumbufu waki ingia ndoani maana ntaitaji kufuliwa,kupikiwa,kunyooshewa nguo, kubrashiwa viatu, kupokewa nikirud nyumbani
Sasa yeye atakuja na mara 50/50 mara tugawane majukumu mara haki sawa....

YOTE NILIYO YAANDIKA IS NOT SERIOUSLY
Nilikua NATANIA TU πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ˜ŠπŸ˜†πŸ€“πŸ€“πŸ˜Š
Kwamba upikiwe, kufuliwa, kunyoosjhewa nguo, kubrashiwa viatu, kupokelewa..he we kaka wewe...ehe na wewe utafanya nini sasa kwa mkeo?yaan hata kubrash viatu huwezi? Kisa umeoaπŸ™ƒ
 
Mimi nina sifa zote, mpaka masters ila sina hela, sina ajira wala sina biashara. Ni ungaunga mwana tu, kama hapa nipo nakomaa nifukuzie buku mbili la msosi mchana.
Hapo vipi?

Wanaume wa jf hawatoki mbinguni, ndo hao hao wa mtaani kwako, kazini kwako, na ndo hao hao unaokutananao small planet, kitambaa cheupe, warehouse, element, wavuvi.
Advantage uliyonayo ni kwamba wa huku hawakujui.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hapa hapa jamvini , ila ulikuwa bado mdogo sana nilipotongoza mdada wa hapa kwa miadi ya kumuoa [emoji3] akanikimbia siku ya pili tukiwa grand lodge huko Morogoro eti kisa naonekana sina future zaidi ya kuendekeza starehe .

Wewe mmama najua sasa umezeeka , ila haujafa upo hapa jamvini , nakusalimia sana , unaendeleaje na future zako ?

Mungu alikusaidia sana maana ukweli sikuwa najua hata nini maana ya kuoa hivyo tungeishi kama kusaidiana kwenye hisia tu .

Kumbe hizi struggle hata zamani zilikwepo[emoji23]
 
You are not a woman.ungekuwa labda ni a woman 28-45years ningekusikiliza,maana ndo utakuwa unajua challenges za mahusiano za this generation
Huenda kwl cjui lolote ktk umri huo labda tu km umemaanisha kuhusu lesbian lkn ktk mahusiano haya ambayo ni lazima iwepo collaboration Kat yetu na nyinyi huniambii kitu kifupi hii staili hta akija muoaji kwel bdo changamoto ni nyingi
 
Kakosea tena? Kingereza ni kosa? Nilidhan lugha tu, na labda katumia kingereza sababu kingereza kipo straight na clear, angetumia kiswahili maelekezo yangekuwa mengi, mfano aliposema inferiority complex kwa kiswahili angeandika nini mzee? Mbona kama yangekuwa maneno mengi?
Watu hawana jema
 
Endelea kuonja kuna homa ya ini huko,unadhani kuonja onja ni sifa,utaonja wangapi,??tangu uanze kuonja umetosheka??
Unaonja hadi ipatikane ladha, homa yoyote siyo kitu cha kuzuia maisha yasiende. Hakuna takayeishi milele zaidi kwa kuamua kuogopa.
Pamoja na kuvuta sana Sigara sehemu kubwa ya maisha yake, bado Bi. Kidude aliishi maisha marefu kuliko wengi.
Lete kionjwa hicho watu tukionje
 
Kumbe hizi struggle hata zamani zilikwepo[emoji23]
Kwanini zisiwepo kwani unafikiri wewe na hiyo ID yako hata usingejitangaza unahisi vijana wasingekuja kukuomba uhusiano ?

Mungu akupe hitaji la moyo wako ila kuwa makini wengi hapa ni fake life , mtu anaweza kukufekia mpaka sauti na jinsi ya kutembea ili umpende [emoji3][emoji3]
 
Huenda kwl cjui lolote ktk umri huo labda tu km umemaanisha kuhusu lesbian lkn ktk mahusiano haya ambayo ni lazima iwepo collaboration Kat yetu na nyinyi huniambii kitu kifupi hii staili hta akija muoaji kwel bdo changamoto ni nyingi

Zipo positive feedback nyingi tuu,binafsi i know a couple from JF na ndo imeni inspire kuja kujaribu.mwenyewe naona jinsi nitakavyowaletea ushuhuda.lazima kuna wenye nia ovu but kuna few percent ya watu wema.so am positive,na Mungu pia yupo kwenye selection[emoji23][emoji23][emoji23]so just relax usiwe negative sana na usinivunje moyo
 
Back
Top Bottom