Looking for God fearing husband who is ready to settle

Looking for God fearing husband who is ready to settle

Then kwanini uumie na kuanza kunibully hata hunifahamu,inaonesha una stress huna pa kuzitolea.aliyekwambia 30 ni stress nani???30 ni stress kama huna maisha.gera out here
[emoji3][emoji3]
Nilijua tu hili neno stress utalisema mwenyewe bila mimi kulisema. Na wala sitalirudia tena kulitaja.
 
Sifa

28years old female
Degree holder
Polite and very humble lady
Employed
Single With no children

Status: Ujaolewa unatafuta mtu jamii

Either :

1. Chai - Tepeli.
2. Una mapungufu sana.

Nakuombea yamtokee dada yako alafu uevaluate mapungufu yake
 
Na aliyekwambia nilipo wanaume hawapo au sitongozwi nani??wapo ila i dont settle for less.na sio kila anayekuja jf yupo desperate,tunataka tuu kutimiza sheria.embu kaa ufikirie maisha yako basi,umetumwa nini hivi mtu unakaa unaanza kuumia juu ya mtu hata umfahamu,alot of psychopathy
Nilijua tu tutafika huku, maana ushauri wa ukweli haujawah kua mtamu.

Ngoja niendelee kuchochea kuni, tutamjua tu mwenye stress..
Wee nanii.., lete kuni hizo na hicho kidumu cha petrol hapo..
 
Wabongo mmejaa negativity[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].iam not a teenager,msubirie basi niwaletee mrejesho.alafu bora muda mwingine kukaa kimya sio lazima kucomment negativity na kuproject fear zako kwa wengine.
Hizo negativity na fear ndio zinahitajika humu kuliko kitu chochote....umejiunga ijumaa ya wiki iliyopita nina almost miaka 10 Jamii forum ninajua ninachokwambia.
 
28years old female
Degree holder
Polite and very humble lady
Employed
Single With no children

Looking for
God fearing man
Polite and humble guy
Christian akiwa catholic itapendeza
Age from 30-35

Educated(akiwa na masters itapendeza)not important but kuondoa infiriority complex later on since i love education

Stable and Matured man who need to settle down
If you know you havent finish yet to play around please dont pm me,na Mungu awabariki.

Dont ask mtaani hawapo[emoji23]
I havent met him yet,so maybe yupo humu jf plz pm me.
Mkipataga muwe mnaleta mrejesho kwa sisi wapiga maombi wenu,
Tusiwe tunaendelea kuwaombea Mahitaji ambayo yamepata suruhu tutamchanganya mpaji!
 
Iam aware of that,it is already a calculated risk
Mithali 14:12 inasema,
"Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti."

Unaweza ukadhani kwamba uamuzi wako ni sahihi,lakini frankly sio.
 
28years old female
Degree holder
Polite and very humble lady
Employed
Single With no children

Looking for
God fearing man
Polite and humble guy
Christian akiwa catholic itapendeza
Age from 30-35

Educated(akiwa na masters itapendeza)not important but kuondoa infiriority complex later on since i love education

Stable and Matured man who need to settle down
If you know you havent finish yet to play around please dont pm me,na Mungu awabariki.

Dont ask mtaani hawapo[emoji23]
I havent met him yet,so maybe yupo humu jf plz pm me.
Ungetaja na bei ingependeza humu tutawaona wa aina yenu kwa maandiko tofauti tofauti na tutaendelea kuwapokea najua unatafuta rizki dogo janja
 
Hizo negativity na fear ndio zinahitajika humu kuliko kitu chochote....umejiunga ijumaa ya wiki iliyopita nina almost miaka 10 Jamii forum ninajua ninachokwambia.

Negativity na fear ndo zimenifikisha nilipo.time to take risk
 
Kuna yule mwenzio wa London alikuja hivi akaweka Mara ya kwanza watu wakamsolola akaweka tena Mara ya Pili watu wakamsolola akaweka Mara ya 3 watu wakaanza kumbadirikia na yeye akaanza kupanic, akaweka Mara ya 4 watu wakaanza kumpiga madongo akabadirisha avatar akatoa picha yake halisi akaweka cartoon, akaweka Mara ya 5 watu wakamshukia vibaya vibaya, akapotea sijamuona mpaka leo labda ana observe tu Ila hachangii chochote

Usije na u-much know humu njoo km mtu wa kawaida tu na watu watakuelewa kwani lazima kujikweza sana, another time njoo kinyumenyume km figo76 una uzi unaosimama km tangazo watakuafa PM kiutu uzima zaidi
Haijui jf huyu humu kuna watu wanakusorora mpka unajiona kenge tu na kingereza chake cha kuunga unga😂😂😂
 
Kwa hivyoo vigezo nadhani paroko wangu wa izumangabo anakidhi vyote sijui atakufaa! 🤔🤔
 
Back
Top Bottom