Looking for God fearing husband who is ready to settle

Looking for God fearing husband who is ready to settle

28years old female
Degree holder
Polite and very humble lady
Employed
Single With no children

Looking for
God fearing man
Polite and humble guy
Christian akiwa catholic itapendeza
Age from 30-35

Educated(akiwa na masters itapendeza)not important but kuondoa infiriority complex later on since i love education

Stable and Matured man who need to settle down
If you know you havent finish yet to play around please dont pm me,na Mungu awabariki.

Dont ask mtaani hawapo[emoji23]
I havent met him yet,so maybe yupo humu jf plz pm me.
Wacha uwongo princess jack , hauna mtoto kweli uliyemficha kijijini kwenu au kwa wazazi wako?
 
Shida vizungu vingi sana

Anyway, watu wengi wanamuogopa Mungu ila hawashiki amri zake, so is that kind of dude you are after?

Kwa ushauri tu, ndoa hazitafutwi ila zinatokea. Tafuta mtu uanze ku date eventually mnaweza mkaingia kwenye hiyo stage ya kitapeli ya ndoa.

To me, mwanamke anayetaka ndoa namuona kama anataka mteremko, yaani kutunzwa na kulelewa yaani kwa kifupi ni kupe.

Kila la kheri
 
28years old female
Degree holder
Polite and very humble lady
Employed
Single With no children

Looking for
God fearing man
Polite and humble guy
Christian akiwa catholic itapendeza
Age from 30-35

Educated(akiwa na masters itapendeza)not important but kuondoa infiriority complex later on since i love education

Stable and Matured man who need to settle down
If you know you havent finish yet to play around please dont pm me,na Mungu awabariki.

Dont ask mtaani hawapo[emoji23]
I havent met him yet,so maybe yupo humu jf plz pm me.


Should he responds in English or Kiswahili as another condition ??
 
28years old female
Degree holder
Polite and very humble lady
Employed
Single With no children

Looking for
God fearing man
Polite and humble guy
Christian akiwa catholic itapendeza
Age from 30-35

Educated(akiwa na masters itapendeza)not important but kuondoa infiriority complex later on since i love education

Stable and Matured man who need to settle down
If you know you havent finish yet to play around please dont pm me,na Mungu awabariki.

Dont ask mtaani hawapo[emoji23]
I havent met him yet,so maybe yupo humu jf plz pm me.
Ras Simba hii,dah😄! 👉If you know you havent finish yet to play around please dont pm me,na Mungu awabariki👈.Anyway my major point is JF is the wrong place for you to look for a husband.You know what?Unaweza ukalikwaa pepo,ogopa sana,mapepo yamo humu.
 
wewe ni nmoja wa wale wanawake ambao huwa wanaamini JF kuna wanaume wa "class" fulani...Kama nipo sahihi ni ninachohisi jiandae kulia haswa.

Wabongo mmejaa negativity[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].iam not a teenager,msubirie basi niwaletee mrejesho.alafu bora muda mwingine kukaa kimya sio lazima kucomment negativity na kuproject fear zako kwa wengine.
 
28years old female
Degree holder
Polite and very humble lady
Employed
Single With no children

Looking for
God fearing man
Polite and humble guy
Christian akiwa catholic itapendeza
Age from 30-35

Educated(akiwa na masters itapendeza)not important but kuondoa infiriority complex later on since i love education

Stable and Matured man who need to settle down
If you know you havent finish yet to play around please dont pm me,na Mungu awabariki.

Dont ask mtaani hawapo[emoji23]
I havent met him yet,so maybe yupo humu jf plz pm me.
Hawa wanawake wanao andika andika vingereza ngereza vingi vingi kwenye kutafuta mume.......

Hope ni wasumbufu waki ingia ndoani maana ntaitaji kufuliwa,kupikiwa,kunyooshewa nguo, kubrashiwa viatu, kupokewa nikirud nyumbani
Sasa yeye atakuja na mara 50/50 mara tugawane majukumu mara haki sawa....

YOTE NILIYO YAANDIKA IS NOT SERIOUSLY
Nilikua NATANIA TU 😊😊🤓🤓🤓😊😆🤓🤓😊
 
Shida vizungu vingi sana

Anyway, watu wengi wanamuogopa Mungu ila hawashiki amri zake, so is that kind of dude you are after?

Kwa ushauri tu, ndoa hazitafutwi ila zinatokea. Tafuta mtu uanze ku date eventually mnaweza mkaingia kwenye hiyo stage ya kitapeli ya ndoa.

To me, mwanamke anayetaka ndoa namuona kama anataka mteremko, yaani kutunzwa na kulelewa yaani kwa kifupi ni kupe.

Kila la kheri

Hayo ni mawazo yako brother tunatofautiana,as wewe unasema hivyo,pia kuna vijana wa mama wakwe pm,wewe ambaye huu utaratibu unakukwaza unafanya nini kuingia kwenye hili jukwaa si uende kwenye majukwaa ya siasa huko.stop be hypocrate
 
Back
Top Bottom