Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakubali kusoma hujui ila hata picha ya mgomea unashindwa kuitambua?Mimi ni mdada mwenye umri wa miaka 35,proffesional nimeajiariwa. Natafuta partner aliyenizidi umri, mrefu , prefably 170 cms and above, mature,financial stable.
kwani wakaka wa 35 hawapo? Mbona wapo wengi tu jamani? Na financial stable ulitaka atafute legelege ? Gdluck mdada waje na cash flow zao kabisa na benk statment loh?nakubali kusoma hujui ila hata picha ya mgomea unashindwa kuitambua?
Wewe 35 unataka finencial stable mkaka wa ova 35 utampata wapi??
Mimi nakushauri ubadilishe tittle uweke:naitaji wa kunizalisha
170cm ni urefu wa nini?
170cm ni urefu wa nini?
kwani wakaka wa 35 hawapo? Mbona wapo wengi tu jamani? Na financial stable ulitaka atafute legelege ? Gdluck mdada waje na cash flow zao kabisa na benk statment loh?
Mimi ni mdada mwenye umri wa miaka 35,proffesional nimeajiariwa. Natafuta partner aliyenizidi umri, mrefu , prefably 170 cms and above, mature,financial stable.
whats wrong with you women nowdays,umri ukikuacha tulia usaide nduguzo,hizi stress za ndoa bado mnazitaka tu,kwanza u're approaching to menopause..anyway good luckyMimi ni mdada mwenye umri wa miaka 35,proffesional nimeajiariwa. Natafuta partner aliyenizidi umri, mrefu , prefably 170 cms and above, mature,financial stable.
Nadhani huu ni urefu wa mpini anaotakiwa kuwa nao huyo partner170cm ni urefu wa nini?
Ukikosa kabisaaaaa....niPM ...Mimi ni mdada mwenye umri wa miaka 35,proffesional nimeajiariwa. Natafuta partner aliyenizidi umri, mrefu , prefably 170 cms and above, mature,financial stable.