Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
ukaona uje ulete kauzibe hapa mkuu?Leo tulikuwa na mjadala vijana wa kiume sehemu.Aisee inaonesha moja ya mambo ya hatari kwa sasa ni kuoa kwa mwanaume.
Nikiwaza na uzi wa juzi ulioletwa humu wa namna mwanamke amemfanyia mme wake baada ya mume kuumwa, I get worried indeed.