Looking for my better half

Leo tulikuwa na mjadala vijana wa kiume sehemu.Aisee inaonesha moja ya mambo ya hatari kwa sasa ni kuoa kwa mwanaume.

Nikiwaza na uzi wa juzi ulioletwa humu wa namna mwanamke amemfanyia mme wake baada ya mume kuumwa, I get worried indeed.
ukaona uje ulete kauzibe hapa mkuu?
 
Habari wana jf.Niko hapa kutafuta mwenza.

Im in my early 30's ,mkristo nina mtoto mmoja.Itapendeza kumpata mkristo pia na umri kuanzia miaka 34 ,na uwe na kipato halali.Ikiwa una nia karibu sana PM iko wazi.

Naomba kuwasilisha.
Noelia kumbe wewe ni single maza.

Ukaamua kuja na ID nyengine.

Anyway.........
Yesu Kristo aliye Mungu kweli,
Yeye Mungu juu ya miungu yote,
Yeye bwana wa mabwana,
Yeye Alfa na Omega,
aliye bwana wa mabwana,
mtuliza dhoruba na jemedari wa vita AKUBARIKI upate mume kama Mimi...!!

#YNWA
 
Ila JF bhana 🀣🀣🀣
 
Inabidi uanze kuniamkia dogo, nakuzidi miaka mingi mno aisee
Never mpk nione kitu fulani hivi ndo nitajua unanizidi alasivyo utakuwa unanifanyia fujo tu! Halafu nina Siri yako moja mahususi..😊
 
Habari wana jf.Niko hapa kutafuta mwenza.

Im in my early 30's ,mkristo nina mtoto mmoja.Itapendeza kumpata mkristo pia na umri kuanzia miaka 34 ,na uwe na kipato halali.Ikiwa una nia karibu sana PM iko wazi.

Naomba kuwasilisha.
Mbna ujasema jinsi
 
Umri na kipato vimenitoa knock out
 
Nani kakwambia nina mtoto mmoja? Mume ninae, we endelea kuweweseka tu
 
Kuoa kidogo wanaume tunaweza kukuelewa baharia umepotea kidogo


Ila kuoa single mother utakuwa umerogwa kuoa mwanamke wa mwanadamu mwenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…