ukaona uje ulete kauzibe hapa mkuu?Leo tulikuwa na mjadala vijana wa kiume sehemu.Aisee inaonesha moja ya mambo ya hatari kwa sasa ni kuoa kwa mwanaume.
Nikiwaza na uzi wa juzi ulioletwa humu wa namna mwanamke amemfanyia mme wake baada ya mume kuumwa, I get worried indeed.
Noelia kumbe wewe ni single maza.Habari wana jf.Niko hapa kutafuta mwenza.
Im in my early 30's ,mkristo nina mtoto mmoja.Itapendeza kumpata mkristo pia na umri kuanzia miaka 34 ,na uwe na kipato halali.Ikiwa una nia karibu sana PM iko wazi.
Naomba kuwasilisha.
Oooh pole brother, sio group ya WhatsApp ni maskani ya washkaji (mates)huwa tunakutana hapo ktk harakati zetu za kimaishaNaomba niadd katika huo Uzi mkuu
34 nafikaje kirahisi wakati hiyo 30 tu sijaanza ichungulia punguza vigezo shuka miaka hadi 24 hivi..πHuna vigezo wewe maneno mengiiπ
Inabidi uanze kuniamkia dogo, nakuzidi miaka mingi mno aisee34 nafikaje kirahisi wakati hiyo 30 tu sijaanza ichungulia punguza vigezo shuka miaka hadi 24 hivi..π
Ila JF bhana π€£π€£π€£Noelia kumbe wewe ni single maza.
Ukaamua kuja na ID nyengine.
Anyway.........
Yesu Kristo aliye Mungu kweli,
Yeye Mungu juu ya miungu yote,
Yeye bwana wa mabwana,
Yeye Alfa na Omega,
aliye bwana wa mabwana,
mtuliza dhoruba na jemedari wa vita AKUBARIKI upate mume kama Mimi...!!
#YNWA
Never mpk nione kitu fulani hivi ndo nitajua unanizidi alasivyo utakuwa unanifanyia fujo tu! Halafu nina Siri yako moja mahususi..πInabidi uanze kuniamkia dogo, nakuzidi miaka mingi mno aisee
Mbna ujasema jinsiHabari wana jf.Niko hapa kutafuta mwenza.
Im in my early 30's ,mkristo nina mtoto mmoja.Itapendeza kumpata mkristo pia na umri kuanzia miaka 34 ,na uwe na kipato halali.Ikiwa una nia karibu sana PM iko wazi.
Naomba kuwasilisha.
Mmh siri tena? Ipi hiyo?Never mpk nione kitu fulani hivi ndo nitajua unanizidi alasivyo utakuwa unanifanyia fujo tu! Halafu nina Siri yako moja mahususi..π
Someone told me that your dashdash is deshdesh.... Mbona kimeumana you better Follow me please..πMmh siri tena? Ipi hiyo?
Mmh sijakuelewaSomeone told me that your dashdash is deshdesh.... Mbona kimeumana you better Follow me please..π
Nikiweka hapa mambo hadharani utajuta you better prime minister me..πMmh sijakuelewa
Kwa hyo unataka nambia PM yake imejam kama Necta kurelease matokeo ya vidato vyote?Nasubiri huo mzongomano huko pm uishe kwanza mi mpenzi wa kugombania siwezi nitatafuna watu bure!!π
Kaingia uwanjani na handicap kibindoni[emoji2]Baada ya kupata bao moja ugenini ndo unataka kuoa sijui kuolewa wanawake wajanja sana
Ngoja nisogee eneo la tukio[emoji12]anatafutwa mwenza wa jinsia yeyote
Huko watu wanapigana vikumbo tu..πKwa hyo unataka nambia PM yake imejam kama Necta kurelease matokeo ya vidato vyote?
Nani kakwambia nina mtoto mmoja? Mume ninae, we endelea kuweweseka tuNoelia kumbe wewe ni single maza.
Ukaamua kuja na ID nyengine.
Anyway.........
Yesu Kristo aliye Mungu kweli,
Yeye Mungu juu ya miungu yote,
Yeye bwana wa mabwana,
Yeye Alfa na Omega,
aliye bwana wa mabwana,
mtuliza dhoruba na jemedari wa vita AKUBARIKI upate mume kama Mimi...!!
#YNWA