Engineer Solomon1992
New Member
- May 22, 2017
- 1
- 0
Kama kichwa kinavyojieleza mimi ni kijana mwenye miaka 25 nimetoka kumaliza chuo kikuu kimojawapo hapa DSM, kwasasa nafanya shughuli zangu
binafsi ambazo zinaendana na fani niliyosomea chuoni wakati huo nikiwa nasubiria matokeo na ajira, nilikuwa natafuta msichana ambaye yuko DSM na ambaye anajitambua na mwenye malengo na maisha ya baadae.
Elimu yake angalau awe amefika kidato cha nne, umri asizidi miaka 25 dini yoyote lakini mimi ni mkristo kama utakuwa ni muislam basi awe tayari kuja kubadirisha kwani kikubwa nitakachohitaji kwa baadae ni ndoa baada ya kuridhiana kwa yeyote ambaye yuko tayari aje PM.
NB.. Kama hauna cha ku-comment basi ni vema ungepita tu.
binafsi ambazo zinaendana na fani niliyosomea chuoni wakati huo nikiwa nasubiria matokeo na ajira, nilikuwa natafuta msichana ambaye yuko DSM na ambaye anajitambua na mwenye malengo na maisha ya baadae.
Elimu yake angalau awe amefika kidato cha nne, umri asizidi miaka 25 dini yoyote lakini mimi ni mkristo kama utakuwa ni muislam basi awe tayari kuja kubadirisha kwani kikubwa nitakachohitaji kwa baadae ni ndoa baada ya kuridhiana kwa yeyote ambaye yuko tayari aje PM.
NB.. Kama hauna cha ku-comment basi ni vema ungepita tu.