Looking for outgoer

Dogo acha kutuaibisha wanaume wenzako. Kama shida yako ni mwanamke/msichana, nyoosha maelezo. Yaani unakuwa domo zege hadi kwenye maandishi!! Ukikutana naye live sasa itakuwaje!!
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hii ni sawa na mtu aliyechoka kufuga kuku sababu alikuwa anawala sana, akageukia kufuga paka ambaye atafuga kama pambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…