Looking for serious relationship

Hajampangia mtu bali anataka aliye mkristi tayari.
Shekhe kaa pembeni akina Paulo wapambanie kombe
 
30 years
1. Tunamuomba ashushe vigezo, mwanaume mwenye miaka 35 hajaoa na yupo serious ni mcha Mungu ni Mkristo ambaye ameajiriwa na serikali,
Kwa haya masharti utakuwa msimbe very soon.
Pia kitu gani unaoffer?? Ukiachana na education yako , kutokuwa na mtoto na hyo miaka 30.
 
Miaka 30 hadi uzae mutoto wa kwanza afikishe miaka kumi utakuwa ushazeeka..hapana sikutaki kwa kweli, ulikuwa wapi wakati una miaka 20-30 usipate mume? Je wewe ni bikra?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…