Looking for wife to be

Looking for wife to be

Ulitakiwa upige hodi kwanza kaka!
Inakuwaje unaanza post no 1 kwa kutafuta mchumba?...au ulijulishwa kwamba hapa kuna warembo kibao?
By Ze Way, karibu sana!
 
Umekomaa lakini 36!!! Ulikuaga wapi siku zote kutafuta! Leo ndo unakurupaka!!
 
Samahani kaka. Ila nilikuwepo Jf kitambo tu, na nilikuwa na-tail discussions nyingi tu.
 
Ulitakiwa upige hodi kwanza kaka!
Inakuwaje unaanza post no 1 kwa kutafuta mchumba?...au ulijulishwa kwamba hapa kuna warembo kibao?
By Ze Way, karibu sana!

wewe....
 
Karibu kaka,mchumba unaweza ukapata lakini mbona huja jichambua sana dini, kazi au mrembo unaemtaka aweje vigezo au yoyote tu sawa?
 
Karibu kaka,mchumba unaweza ukapata lakini mbona huja jichambua sana dini, kazi au mrembo unaemtaka aweje vigezo au yoyote tu sawa?
Chemistry inapo-balance, dini, kazi, na vitu vingine vinakuwa automatically negligible. Is about me, myself and I. Not me, myself, I and Society.
 
Karibu mwaya,nakutakia kila la kheri km kweli unamaanisha na si kutaka kucheza na hisia za mabinti za watu!cku hizi jf kumeigiliwa!
 
[h=2].[/h]
This is serious. Am 36 years of age, toka kanda ya Kaskazini Mashariki. Txt me and we can discuss and take it over. For non Jf members use infopaedia75@gmail.com

huko nyuma ulikwama vipi.........................tusimulie kabla hatujawashawishi dada zetu kutumbukia shimoni..............
 
halafu birthday yako bana sijashiriki roho imeniuma kweli vivian kaniponza ngoja nipeleke kazawadi kangu ingawa ni too late

Usijali bebii..........unakaribishwa sana. Bado keki ipo kwa wale ambao hawakufika jana...🙂
 
Back
Top Bottom