Bitter pill
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 917
- 781
Meanwhile warembo wenu majambazi wa kimataifa.hapo siwezi nikakudanganya...madem wenu nawatamani sana...ni warembo
Kila sehemu kuna maendeleo, au ulitaka kujua wapi kuna maendeleo zaidi kwingine?sawa je wapi kuna maendeleo?
Umefuatilia budget deficit ya tz ni % ngapi na ya kenya ni % ngapi?jikite kwenye hoja, deni letu la nje na la ndani ilanongezeka na linaongezeka kwa sababu ya matumizi yaliyojuu zaidi ya mapato, kenya wenzetu base ya uzalishwaji na wingi wa viwanda unawabeba sisi tunabebwa na hotuba na vyeti
Hahaha pole ndugudada nimekupenda ila huwa unanilenga sanaπππyaani uko mrembo sana...heri ufiche ID yako ili nisipandwe na tamaa nyingi
usifiche lakini...infact ongeza mapicha za aina aina tujisafishie macho angalau..ππππHahaha pole ndugu
Ntaanza kuificha usijari
Kura umepiga kwanza?usifiche lakini...infact ongeza mapicha za aina aina tujisafishie macho angalau..ππππ
la hasha dada..hii si kura halali... watu wanapiga kura mmoja mmoja.. hali si hali pia katika maswala ya usafiri...watu wamejifungia manyumbani...Kura umepiga kwanza?
Usalama kwanza okla hasha dada..hii si kura halali... watu wanapiga kura mmoja mmoja.. hali si hali pia katika maswala ya usafiri...watu wamejifungia manyumbani...