Loose virginity without bleeding

gabagaba

Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
36
Reaction score
4
Nina mda kama wa wki2 tangu nifunge pingu za maisha na mke wangu kipenz,tuliahidiana kutokufanya mapenz hadi tutakapo oana na wote tulifanya hvyo,chakushangaza cku ya kwanza kufanya nae mapenzi ckuona damu kutoka kama watu wanavyosema ila baada ya kumalza tendo kama masaa ma 3 au ma 4 badae dam ilianza kutoka.Nilipo muulza anasema hata yy anashangaa na sio dam kama ile ya period.JAMBO HILI LINAWEZEKANA AU AMENIDANGANYA HAKUWA NA BIKR.USHAURI TAFADHALI
 
kuna jamaa mmoja alikuwa limpenda binti mlokole alimdanganya ni bikra ,
kumbe mdada alimpa siku anableeed
miaka ikapita kumbe dada alikuwa na mtoto long time
jamaa ni mtumishi kuvunja ndoa hawezi halafu mwanamke ni jeuri balaa
 
Samahani lakini,kwahiyo wewe plani zako zilikuwa ni kubikiri mtu utakayemuoa,unafikiri kuna uhusiano wowote wa mwanamke anaeolewa akiwa bikra na ndoa,anyways na hata kama kakudanganya kwa hiyo utamuacha,ningekushauri hata kama kakudanganya usimnyime raha kwa kuwa umemkuta tayari wameshamfungua,haina uhusiano wowote na mapenzi halisi ndani ya ndoa.
 
Acha ujinga ongea vizuri na mke wako kujitafutia ujiko hapa
 
Mkuu umepewa siku ya MP,she is very smart,enzi za utotoni ningekwambia UMELALA NACHO
 
Dah jamii forum ni sehemu nzuri ambapo unaweza pata ushauri lkn pia usipokua makini unaweza enda acha mke bure! Inawezekana kabisa ur wife alikua virgin, meann hajawah sex na mtu, na hiyo ya kutoka dam baadaye sijawahi ipata ila inawezekana, mi ninalolijua kwa hakika kuna wengine hawatoki damu at all, sasa hapo utajua lbd kwa utight wa.....! Kwa sababu kinachosababisha kutoka damu ni kunakua na kalayer fulani(kaseal) ambko wengine wanakua hawna lbdkalitoboka utotoni in one way or the other, au lbda mkeo iliachia baada ya mda sijui, ila anaweza kuwa kweli alikua nayo
 
Ila kuna aina 3 za bikira ya mwanamke na kati hizo mojawapo anaweza asitoe damu wakati wa kujamiiana. Kwa sababu ule mlango unakuwa mpana kiasi na unaweza usisababishe michubuko during sex na hasa kama ulitumia muda mrefu kumuandaa kabla ya kumuingilia. Muamini mkeo mkuu she might be virginy.
 
Acha ujinga ongea vizuri na mke wako kujitafutia ujiko hapa

Katika watu vihio niliowahi kukutana nao,basi jamaa anashika #1

Kwanza, jamaa hajaoa,
Pili, akili zake hazimtoshi(looks like an adolescent boy)
Tatu, hana adabu mbele za watu
Nne,hata kama atakuja kuoa,ndoa yake itakuwa na matatizo,kwakuwa kila mkewe atakapokua akirudi nyumbani lazima atamkagua nyeti zake.
 
Kwanza kabisa nahutaji kujua huyu jamaa alikuwa ni siku ya kwanza kuwa na mke? Tusiangalie upande MMOJA wote wanahusika kujitunza kabla ya ndoa. Jambo lingine ni bikra siyo sababu ya kufanya ndoa idumu,kinachotakiwa ni UPENDO wa dhati kati ya wawili. Kumbuka kwa wake wakristo kuna Nabii aliambiwa na Mungu aende akaoe kahaba je kahaba anaweza kuwa na bikra. Bikra yaweza kutoka kwa Njia nyingi Kama vile michezo ya utotoni ya kutoka Kamba na mingineyo. Kaka tulia na mkeo maisha ni kuelewana na kupendana wakati wa shida na raha. TULIZANA
 
Kama wadau walivyochangia, ni kweli kabisa ya kuwa bikra ya mwanamke ni kinyama kidogo (hymen) ambacho kinaweza kukatika katika pilika za kila siku kama michezo ya kuruka katika umri mdogo, kuendesha baiskeli nk. kwa huyu jamaa inabidi amuamini mke wake ya kuwa ni bikira kama alivyomuambia, kutoka bikira sio lazima mwanamke atoke damu kuna ambao hawatoki damu, tafuta kitabu kinaitwa Tendo la ndoa kimeandikwa na mchungaji wa kimarekani na mkewe kuna mambo mengi utajifunza kutoka humo. Je na wewe ulikuwa bikra siku ya ndoa? Au unaangalia upande mmoja tu, yaweza kuwa ni mambo ya cheni bandia na pesa bandia.....Otherwise kila la heri katika ndoa yako, ni mapema sana kuanza kuwa na mashaka na mwenzako.
 
Kuna jamaa m1, huko pemba alikuwa na makubaliano na mwenza wake, wasi-do mpaka wafunge ndoa. (Kama mlivyokubaliana wewe na mwenzako) kumbe demu alikuwa na jamaa'ke mwingine, na alikuwa anampa hara kama kawa. Siku ya ndoa ilipowadia jamaa akachujua mzigo wake. Night jamaa alipogonga mzigo akakuta goma lipo "sild" acha jamaa ajisifu. Baada ya wiki jamaa akaenda kwa wakwe zake kushukuru kwa malezi mazuri aliyopewa mke wake! Hapo ndo alipochoka.... Usitushukuru siye, nshukuru Abubakari yeye alikuwa anagonga 0713!
 

Umenikumbusha story ambayo ilimkuta jamaa yangu wa karibu,wakati yuko form 5 alipendana na mwanafunzi mwenzie mwenye asili ya kiarabu,alipo-demand sex dem alikataa katakata lakini siku moja akamfungukia jamaa,kama anataka ampe 0713,jamaa akakubali na sababu ilikuwa ni kuwa yule dem alikuwa na jamaa yake anaishi Dubai ambaye alikuwa amesha mchumbia na makubaliano ni kuwa akimaliza shule wanaoana na jamaa alikuwa akijuwa kuwa dem ni Bikra,huwezi amini jamaa alikuwa anakula hiyo kitu kama ya kwake,so you can see how things are men.:evil:
 
Ishi na mkeo unadhani bikra inaweza ufanya maisha yenu kuwa rahisi? Unatakiwa pale ulipo muowa ndiya mmeanza ukurasa mpya wa maisha,wewe una ng,ang,ania bikra.
 
sidhani kama jamaa anang'ang'ania bikira hapa....ila nafikiri kinachomsumbua ni ''huenda amedanganywa!!!".sasa kujua kwamba mwenzio amekudanganya kwa ishu ambayo lazima tu ungeifaham siku moja inakupa kufahamu ni mtu wa aina gani ina her true colours na ujue namna ya kuishi nae.ana maumivu ya kudanganywa tu,wala sidhani kama analilia bikira bana!
 
si mtoe majibu kama muuliza swali alivyo uliza??! mbona wachangiaji wanatoa hoja za kujitetea tu?
mimi naona kama umedanganywa tuu hapo! hamna bikra hapo, kwanza hata hakusikia maumivu wala ugumu wa kuingiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…