Kuna jamaa m1, huko pemba alikuwa na makubaliano na mwenza wake, wasi-do mpaka wafunge ndoa. (Kama mlivyokubaliana wewe na mwenzako) kumbe demu alikuwa na jamaa'ke mwingine, na alikuwa anampa hara kama kawa. Siku ya ndoa ilipowadia jamaa akachujua mzigo wake. Night jamaa alipogonga mzigo akakuta goma lipo "sild" acha jamaa ajisifu. Baada ya wiki jamaa akaenda kwa wakwe zake kushukuru kwa malezi mazuri aliyopewa mke wake! Hapo ndo alipochoka.... Usitushukuru siye, nshukuru Abubakari yeye alikuwa anagonga
0713!