2Pac alikuwa anakula ungaduh hii habari imenisikitisha sana...sio kosa lake.stress za music zimempelekea kuvuta unga..unga umempelekea kuwa mwizi..wizi utampeleka wapi??
Serikali inabidi iuangalie huu muziki..wasanii wetu ni maskini sana.
Msiutazame muziki kwa jicho la mafanikio ya Diamond.
duh hii habari imenisikitisha sana...sio kosa lake.stress za music zimempelekea kuvuta unga..unga umempelekea kuwa mwizi..wizi utampeleka wapi??
Serikali inabidi iuangalie huu muziki..wasanii wetu ni maskini sana.
Msiutazame muziki kwa jicho la mafanikio ya Diamond.
mwizi mwizi tu..awe mweusi awe mlaini awe mweupe awe mbana pua mwizi ni mwizi..na haya ni madhara ya kupiga unga
Aisee sidhani ka ni muziki tu! Sijui kunani! Machalii wote wa Kaloleni Nigger Bronx, SuaSide wamekuwa mateja YAANI wamekuwa hopeless nashukuru Mungu Shule imenitoa huko labda na Mimi ningekua ka wao.... Bora Abuu Nako kahama na kitaa Yuko Kiurei anahustle kivyake.. Kiukweli inauma kuwaona masela mliokuwa pamoja wameharibikiwa eti hadi LP pakapaka, dulla, soja, nao ni mateja duuuh bora spark ye chizi fresh!
Duh chaliii wa R mbona unatuangusha?na poz aliloweka laonyesha kuna ukwel kanyweaaaaaa!
2Pac alikuwa anakula unga
wagumu kibao marekani wanakula unga na wao ndio wanawagezea hao unategemea nini?bota huyu kaiga kuwa mla unga kuliko wale wanaoiga kuwa mashoga
Bora arudi Arusha Muba na Rama Mkulu watampa Shavu AKIBOA duh! Imeniuma sana YAANI Lodiiii kweli! Aisee lazima afanyiwe mchakato arudi chuga ... Najua Geboo we ni member humu mfanyie mchakato bro arudi chuga aiseee!
na wewe uliwahi kuvuta bangi? Lord eyes ni msela mavi na machalii wengi wa arusha ni masela mavi uchafu kuvuta mibangi kwao wanajiona masela ndio maana tunazidi kuwapoteza si unaona kama faza nerry kafa kwa bahati mbaya
Mie mtoto wa arusha nimeishi na bado mpaka sasa naishi arusha sijawahi kuvuta bangi wala kuvaa milegezo nimekuwa mcha Mungu na nafuata mafundisho ya wazazi wangu.Tatizo lenu usela nnya sana kuvuta mibange mnaona kwenye video nanyi mnaiga iga ndio maana mnaharibikiwa.SSuala sio usela nnya au nini, Kama wewe ni mkazi wa Arusha ingekuwa umeona na jinsi gani vijana walivyo ktk hatari ya kujiingiza ktk Urahibu wa madawa ya kulevya siku zote hulka za vijana ni kupenda kujaribu kila kitu coz jamii na serikali halichukulii hili Suala kwa uzito unaostahili Arusha kuna mazingira rafiki sana ya kujihusisha katika uvutaji wa bangi then matokeo ndo haya bangi inauzwa kiwaziwazi inavutwa kiwaziwazi, hakuna anaechukua hatua Kama umekulia Na kusoma Arusha hukuvuta hata pafu ya ganja mshukuru Mungu. Ganja iko publicized sana na vijana wengi wanaipata kirahisi sana. Tusianze kuwalaumu bila kuangalia jinsi ya kuwasaidia
Mie mtoto wa arusha nimeishi na bado mpaka sasa naishi arusha sijawahi kuvuta bangi wala kuvaa milegezo nimekuwa mcha Mungu na nafuata mafundisho ya wazazi wangu.Tatizo lenu usela nnya sana kuvuta mibange mnaona kwenye video nanyi mnaiga iga ndio maana mnaharibikiwa.
Hivi kuna sehemu inauzwa bangi wazi wazi kama tarime au rorya kule? mbona hakuna wasela nnya kama arusha? nyie badilikeni machalii la sivyo mtaisha mdogo wako sas anakabiliwa na mashtaka zaidi ya 30 according to kamanda kinyela.
vijijini kwetu waarusha wameuza mashamba wanakuwa watumwa mbele ya wachaga na wapare unakuta wazee siku hizi wamekuwa wezi nao arusha kama hamtabadilika mtalia sana mimi mwenzako ngaramtoni nimehama niko zangu njiro na wastaarabu wenzangu
Nina ushahidi asilimia mia moja kwamba Ray C ndio kamfundisha Lord Eyez na Ibra da Hustler kuvuta Unga,,Coz Rayc alianza kuvuta unga kabla hajakutana na hawa machalii wa RHuyu kamfundisha Ray C kuvuta madawa
Nina ushahidi asilimia mia moja kwamba Ray C ndio kamfundisha Lord Eyez na Ibra da Hustler kuvuta Unga,,Coz Rayc alianza kuvuta unga kabla hajakutana na hawa machalii wa R