B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,443
- 3,002
chalii etu amekujaa kuwa mbululaa aseee...ila materii noma ndo zilikuwa zake chugaaaDuh chaliii wa R mbona unatuangusha?na poz aliloweka laonyesha kuna ukwel kanyweaaaaaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chalii etu amekujaa kuwa mbululaa aseee...ila materii noma ndo zilikuwa zake chugaaaDuh chaliii wa R mbona unatuangusha?na poz aliloweka laonyesha kuna ukwel kanyweaaaaaa!
Miaka 12 iliyopita khaaaaHii kesi walimsingiziaga bwana...
Baadhi ya wasànii hawajui jinsi ya kuilinda na kuiendeleza brand yao. Wakishaona wametoka wao wanakuwa wapiga mizinga, matapeli, na kudharau hata watu wengine. Huwa wanawaona producers na directors kama ni wanafunzi. Huwadharau na kuwatusi shabiki zao. Hudhulumu pesa za wasanii chipukizi.Unga huo..hawa wasanii wakishafulia ukiwaona unatoa machozi..nimemuona Nurueli siku moja aisee unatoa machozi kabisa nafikiri amekuwa chizi.