Lorraine Marriot ni nani?

Nnahisi utakuwa umekosea maana huyu Miss hata miaka 23 kama sikosei hajafika so ukiongelea 2008 enzi hizo atakuwa alikuwa high school kama sikosei

Dooh! Basi kweli siye.. Kweli duniani wawili wawili!

Huyu ameishi wapi kwa Dar?! Na amefanya biashara gani? Au alivyotoka masomoni ndio kaingia kwenye ulimbwende moja kwa moja?

Halafu, huyu ndiye yule aliyekuwa anapeleka kadi za VIP kwa mapedeshee waliolipia kuhudhuria shindano la Miss Universe last month? Au yule ni yupi?

Msinichoke!
 

Mkuu ila ninachoona kwako ni kama una roho ya kwa nini kwa binti huyu.
Hivi kweli unawajua watanzania wote milioni 45? Au unataka kupeleka posa? Au unajenga fitna mkuu? Acha hizo. Mrembo huyu nimem google na kuona aliwakilisha Tanzania mwaka jana Miss Grand International.
https://m.facebook.com/MISSGRANDTANZANIA/

Sasa kwa nini unasema hakuna data?
Hiyo ya kunyimwa ushindi eti hajulikani unafikiri hao wengine wanajulikana mkuu? Kwi kwi kwi
 

Ndo uyo uyo shemeji wako mdogo wangu nasubiri arudi ili nirudishe majeshi teh tehe tehe
 
Nnahisi utakuwa umekosea maana huyu Miss hata miaka 23 kama sikosei hajafika so ukiongelea 2008 enzi hizo atakuwa alikuwa high school kama sikosei

Huwa hawataji miaka yaukweli rejea ya sitti
 
nimekula sana huu mzigo kwa kusaidiwa na maria sarungi
 
nimekula sana huu mzigo kwa kusaidiwa na maria sarungi

Haki ya mungu we bado ni bikira. Naamini hujawahi kuiona nyapu tangu uzaliwe. Watu Kama nyinyi ndio zenu kusingizia mboro zenu
 
Celebrity Mpya huyo but wenye hela zao washamwandalia "azimio LA kazi"
 
Hivi hiki kitu kinachoitwa u-miss kina-aleji na rangi nyeusi ( mana kila miss lazima atakuwa kaitelekeza rangi yake)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…