ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Nnahisi utakuwa umekosea maana huyu Miss hata miaka 23 kama sikosei hajafika so ukiongelea 2008 enzi hizo atakuwa alikuwa high school kama sikosei
Nimecheki Youtube kutafuta baadhi ya Clips zake yeye kama yeye nimeikosa. Nimekuta Clips zinazoonyesha contestants wa Miss Universe 2015, na nimeshangaa kuona kati ya warembo wote ni yeye pekee zimewekwa picha zake tu badala ya footages kama wenzie..
Ninachojiuliza; Ina maana hakuandaliwa vya kutosha? Mbona wenzake ukitafuta data zao unazipata in abundance?!
Waratibu waliangalia hilo. Linaweza kumnyima ushindi!
Anafanya kazi as a pilot au ana ndoto za kuwa pilot?!
Zzzzzzz!
Unajua huyu binti namfananisha na msichana fulani hivi alikuwa mchepuko wa brother wangu miaka ya 2008, ndio maana nauliza maswali mengi nijue kama ni yeye au laaa.
Ninayemjua mimi hakuwa na jina hilo, lakini nakumbuka alisomea pale UDSM na kupata kazi Shirika moja hivi linahusiana na masuala ya Nishati Mbadala (Alternate Energy).
Enzi hizo bro anaishi Mbezi ya Kimara...
Nnahisi utakuwa umekosea maana huyu Miss hata miaka 23 kama sikosei hajafika so ukiongelea 2008 enzi hizo atakuwa alikuwa high school kama sikosei
Huwa hawataji miaka yaukweli rejea ya sitti
nimekula sana huu mzigo kwa kusaidiwa na maria sarungi