United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Kwenye mchezo wa golfu Kuna fundi mmoja alitawala mchezo huo Kwa kipindi kirefu sana alimarafu kama Tiger woods wazungu wanaita GOAT greatest of all time . kweny mchezo wa tennis Kuna fundi mmoja anaitwa Norvark jorkovick Kwa wapenzi wa tennis nazan wanamfahamu huyu mwamba Raia wa Serbia .katika umri wa miaka 34 ameweza kufanya mambo makubwa mengi sana hatuwezi kumaliza CV yake hap.
Kwenye mchezo pendwa zaidi Dunia mchezo wa soka wenye mashabiki takribani bilioni 5 kweny mchezo huu Kwa ngazi ya vilabu Kuna klabu moja marufu Kwa jina la Los Blanco's au Kwa jina la Real Madrid yenye maskani yake pale Santiago bernabeu jijini Madrid huko nchini Hispania
ilioyoanzishwa mnamo tarehe /6/3/1902.Real madrid ndio klabu Bora ya wakati wote ya Dunia.kuna sababu nyingi sana zilizopelekea Real Madrid kuwa klabu Bora ya Duniani
Real Madrid na ligi ya mabigwa barani ulaya, michuano Bora zaidi barani ulaya Kwa ngazi ya vilabu ikiwakilishwa na vilabu vinavyoshika nafasi za juu katika ligi kuu za nchi wanachama wa UEFA Huku mwanzo ikifamika kama European cup.kabla ya kuja badilishwa jina na kuitwa UEFA champions leuage.Real Madrid ndio klabu pekee kutoka barani ulaya iliyoshiliki michuano hii mara yingi zaidi Huku ikishiliki zaidi ya mara 50 .pia Real ndio klabu pekee imeshinda taji Hili mara nyingi wakifanikiwa kutwaa taji Hilo mara 13 taji la kwanza wakishinda mwaka1956,1957,1959,1960,1966,1998,2000,2002,2014,2016,2017,2018
Ballon dor , tuzo za jarida la michezo la ufaransa marufu kama France magazine tuzo hizi pia hutambulika kama tuzo za mchezaji Bora wa mwaka wa Dunia zilizoanzisha mwaka 1956.Real madrid ndio klabu pekee Duniani iliyotoa washindi wengi zaidi wa tuzo hizi wengi zaidi ikiwa imefanya hivyo mara 11 huku.Gwiji wa zamani wa klabu hiyo Alfredo di Stefano akitwaa tuzo hiyo mwaka 1957,
Raymond kopa1958 akitwaa tuzo hiyo kutoka Real madrid 1959 Alfredo di Stefano alishinda tuzo kwa mara nyingne tena.Los Blanco's iliwachukua takrilibani miaka 40 kuja kutoa mshindi wa tuzo hiyo tena mwaka 2000 fundi wa mpira wa miguu Luis Figo alishinda tuzo hiyo akiwa na Real Madrid . Ronaldo de Lima mwaka 2002 akiwa na Real Madrid .2006 Beki kisiki Raia wa Italy Fabio canarvallo akishinda tuzo hii.Nyota aliyevunja rekodi ya usajili mwaka 2009 Cristiano Ronaldo akitokea old Trafford Kwenda Santiago bernabeu alishinda tuzo hiyo mwaka 2013,2014,2016,2017 na mwaka 2018 Luka modric Rai wa Croatia akishinda tuzo hiyo kutoka Real Madrid
Tuzo ya klabu Bora ya Karne ya 20 ya FIFA,Gwiji wa soka wa zamani Alfredo di Stefano na Florentino Perez Rais wa Real Madrid mwaka 2000 walikabiziwa tuzo ya heshima na FIFA ya klabu Bora ya kutoka mwaka 19000 hadi 2000 .Halfa hizo za ugawaji wa Tuzo hizo zilfanyika jijini Rome nchini Italy . Manchester united kutoka ardhi ya malikia wakishika nafasi ya pili wakifwatiwa na klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani
Klabu bigwa ya Dunia , michuano inayowakilishwa na mabigwa wa klabu bigwa za mabara mbalimbali duniani kama ulaya,america ,Africa ,Asia,n.k .iliyochini ya shirikisho la soka la mpira la Dunia FIFA Real Madrid ndio klabu pekee iliyoshinda taji Hilo mara nyingi zaidi ukilinganisha na vilabu vingine ikiwa imeshinda mara 4 mwaka 2014,2016,2017,2018
Galatico,neno la kispanishi lenye maana ya a super star sera hii ilianzishwa na Raisi wa klabu hiyo Florentino Perez mwaka 2000 sera hii ikijuisha sajili za wachezaji wenye majina makubwa Dunia kwenda kucheza bernabeu Kwa lengo la kufanya Real Madrid kuwa klabu ya kiushindani barani ulaya na duniani Kwa ujumla huku first Galatico ilikuwa ni kutoka mwaka 2000 hadi 2006 Real Madrid ikifanya sajili zilizovunya Rekodi ya Dunia ikiwemo usajili wa Luis Figo kutoka Barcelona ,Zinadine zidane,Aliyevunja rekodi ya usajili wa DuniaKwa kipindi hicho,Ronaldo de Lima,David, Beckham, Micheal Owen,. Sergio Ramos .n.k Kwa kipindi Cha mwaka 2000 hadi 2006 Cha uongozi wa Perez walifanikiwa kutwaa Mataji mbalimbali ikiwemo Ligi ya Mabigwa barani ulaya,kombe la ligi kuu Hispania n.k
Second Galatico hii ilikiua kipindi Cha awamu ya pili ya uongozi wa Florentino Perez baada ya kurejea klabuni hapo mwaka 2009 akifanya sajili za wachezaji kama Ricardo kaka kutoka Ac Milan , Cristiano Ronaldo,Karim benzema,Xabi Alonso na miaka ya 2010 na kuendelea akifanya sajili za kina Angel dimaria,meust ozil,Isco, Gareth bale,Luca modric,Toni kroos n.k Huku Real Madrid walifanikiwa kutwaa Mataji mbalimbali ikiwemo Ligi ya Mabigwa barani ulaya mwaka 2014,2016,2017,2018 ligi kuu Hispania, super cup n.k
Santiago bernabeu, uwanja wa nyumbani wa klabu ya Real Madrid ulioanza kujengwa mnamo mwazoni mwa miaka ya 1940s.Moja kati ya uwanja unaokwenda kuwa Bora barani ulaya na duniani Kwa ujumla badaa ya matengezo yake kumalika ambapo Kwa Sasa upo Kweny matengezo yaliyoigharimu Real Madrid takribani Euro million 800.pia Real Madrid wamesani mkataba wa kukodisha uwanja Kwa kampuni ya matamasha ya kimerani Kwa kitita Cha paund million 400 Kwa mwaka.pia uwanja huu unakumbukwa Kwa kuweza kuandaa fainali kubwa za michuano mbalimbali ikiwemo fainali ya kumbe la Dunia mwaka 1982.fainali ya michuano ya mataifa ya ulaya mwaka 1964 fainali za ligi ya mabigwa barani ulaya mwaka 1957,1969,1980 na mwaka 2010.bila kusahu fainali ya michuano ya klabu bingwa ya america ya kusini kati ya Boca Juniors na River plate mwaka 2018
Kwa kifupi tuseme Aporla 14
Kwenye mchezo pendwa zaidi Dunia mchezo wa soka wenye mashabiki takribani bilioni 5 kweny mchezo huu Kwa ngazi ya vilabu Kuna klabu moja marufu Kwa jina la Los Blanco's au Kwa jina la Real Madrid yenye maskani yake pale Santiago bernabeu jijini Madrid huko nchini Hispania
ilioyoanzishwa mnamo tarehe /6/3/1902.Real madrid ndio klabu Bora ya wakati wote ya Dunia.kuna sababu nyingi sana zilizopelekea Real Madrid kuwa klabu Bora ya Duniani
Real Madrid na ligi ya mabigwa barani ulaya, michuano Bora zaidi barani ulaya Kwa ngazi ya vilabu ikiwakilishwa na vilabu vinavyoshika nafasi za juu katika ligi kuu za nchi wanachama wa UEFA Huku mwanzo ikifamika kama European cup.kabla ya kuja badilishwa jina na kuitwa UEFA champions leuage.Real Madrid ndio klabu pekee kutoka barani ulaya iliyoshiliki michuano hii mara yingi zaidi Huku ikishiliki zaidi ya mara 50 .pia Real ndio klabu pekee imeshinda taji Hili mara nyingi wakifanikiwa kutwaa taji Hilo mara 13 taji la kwanza wakishinda mwaka1956,1957,1959,1960,1966,1998,2000,2002,2014,2016,2017,2018
Ballon dor , tuzo za jarida la michezo la ufaransa marufu kama France magazine tuzo hizi pia hutambulika kama tuzo za mchezaji Bora wa mwaka wa Dunia zilizoanzisha mwaka 1956.Real madrid ndio klabu pekee Duniani iliyotoa washindi wengi zaidi wa tuzo hizi wengi zaidi ikiwa imefanya hivyo mara 11 huku.Gwiji wa zamani wa klabu hiyo Alfredo di Stefano akitwaa tuzo hiyo mwaka 1957,
Raymond kopa1958 akitwaa tuzo hiyo kutoka Real madrid 1959 Alfredo di Stefano alishinda tuzo kwa mara nyingne tena.Los Blanco's iliwachukua takrilibani miaka 40 kuja kutoa mshindi wa tuzo hiyo tena mwaka 2000 fundi wa mpira wa miguu Luis Figo alishinda tuzo hiyo akiwa na Real Madrid . Ronaldo de Lima mwaka 2002 akiwa na Real Madrid .2006 Beki kisiki Raia wa Italy Fabio canarvallo akishinda tuzo hii.Nyota aliyevunja rekodi ya usajili mwaka 2009 Cristiano Ronaldo akitokea old Trafford Kwenda Santiago bernabeu alishinda tuzo hiyo mwaka 2013,2014,2016,2017 na mwaka 2018 Luka modric Rai wa Croatia akishinda tuzo hiyo kutoka Real Madrid
Tuzo ya klabu Bora ya Karne ya 20 ya FIFA,Gwiji wa soka wa zamani Alfredo di Stefano na Florentino Perez Rais wa Real Madrid mwaka 2000 walikabiziwa tuzo ya heshima na FIFA ya klabu Bora ya kutoka mwaka 19000 hadi 2000 .Halfa hizo za ugawaji wa Tuzo hizo zilfanyika jijini Rome nchini Italy . Manchester united kutoka ardhi ya malikia wakishika nafasi ya pili wakifwatiwa na klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani
Klabu bigwa ya Dunia , michuano inayowakilishwa na mabigwa wa klabu bigwa za mabara mbalimbali duniani kama ulaya,america ,Africa ,Asia,n.k .iliyochini ya shirikisho la soka la mpira la Dunia FIFA Real Madrid ndio klabu pekee iliyoshinda taji Hilo mara nyingi zaidi ukilinganisha na vilabu vingine ikiwa imeshinda mara 4 mwaka 2014,2016,2017,2018
Galatico,neno la kispanishi lenye maana ya a super star sera hii ilianzishwa na Raisi wa klabu hiyo Florentino Perez mwaka 2000 sera hii ikijuisha sajili za wachezaji wenye majina makubwa Dunia kwenda kucheza bernabeu Kwa lengo la kufanya Real Madrid kuwa klabu ya kiushindani barani ulaya na duniani Kwa ujumla huku first Galatico ilikuwa ni kutoka mwaka 2000 hadi 2006 Real Madrid ikifanya sajili zilizovunya Rekodi ya Dunia ikiwemo usajili wa Luis Figo kutoka Barcelona ,Zinadine zidane,Aliyevunja rekodi ya usajili wa DuniaKwa kipindi hicho,Ronaldo de Lima,David, Beckham, Micheal Owen,. Sergio Ramos .n.k Kwa kipindi Cha mwaka 2000 hadi 2006 Cha uongozi wa Perez walifanikiwa kutwaa Mataji mbalimbali ikiwemo Ligi ya Mabigwa barani ulaya,kombe la ligi kuu Hispania n.k
Second Galatico hii ilikiua kipindi Cha awamu ya pili ya uongozi wa Florentino Perez baada ya kurejea klabuni hapo mwaka 2009 akifanya sajili za wachezaji kama Ricardo kaka kutoka Ac Milan , Cristiano Ronaldo,Karim benzema,Xabi Alonso na miaka ya 2010 na kuendelea akifanya sajili za kina Angel dimaria,meust ozil,Isco, Gareth bale,Luca modric,Toni kroos n.k Huku Real Madrid walifanikiwa kutwaa Mataji mbalimbali ikiwemo Ligi ya Mabigwa barani ulaya mwaka 2014,2016,2017,2018 ligi kuu Hispania, super cup n.k
Santiago bernabeu, uwanja wa nyumbani wa klabu ya Real Madrid ulioanza kujengwa mnamo mwazoni mwa miaka ya 1940s.Moja kati ya uwanja unaokwenda kuwa Bora barani ulaya na duniani Kwa ujumla badaa ya matengezo yake kumalika ambapo Kwa Sasa upo Kweny matengezo yaliyoigharimu Real Madrid takribani Euro million 800.pia Real Madrid wamesani mkataba wa kukodisha uwanja Kwa kampuni ya matamasha ya kimerani Kwa kitita Cha paund million 400 Kwa mwaka.pia uwanja huu unakumbukwa Kwa kuweza kuandaa fainali kubwa za michuano mbalimbali ikiwemo fainali ya kumbe la Dunia mwaka 1982.fainali ya michuano ya mataifa ya ulaya mwaka 1964 fainali za ligi ya mabigwa barani ulaya mwaka 1957,1969,1980 na mwaka 2010.bila kusahu fainali ya michuano ya klabu bingwa ya america ya kusini kati ya Boca Juniors na River plate mwaka 2018
Kwa kifupi tuseme Aporla 14