Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Za leo ndugu zangu wana JF:
Leo ninapenda niongelee kitu ambacho nimekuwa nakifuatilia kwa muda mrefu. Imenibidi nikusanye researches zangu zote niweze kuziweka hapa.
TAMADUNI ZA MTU MWEUSI
Nimefuatilia kwenye tamaduni mbalimbali za mtu mweusi nimekutana na ufanano wa mambo mengi sana. Moja ya ufanano wa mambo ni kuptia katika imani zao. Watu weusi walikuwa na imani zinazofanana hususani kuamini kuwa yupo mwenye nguvu zaidi ambaye hatumuoni.
Imani hiyo ilikuwa presented kwa kupitia vitu vinavyoonekana. Si kwamba watu weusi walikuwa wanaabudu miti, milima au jua bali walikuwa wanapitisha hisia zao za imani kupitia vitu vinavyoonekana.
Watu weusi wamekuwa wakitumia dawa za miti kwa miaka mingi sana. Imekuwa ikirithishwa kutoka kizazi hadi kizazi.
SAFARI YANGU YA KWENDA UGRIKI, ITALIA, IRAN NA UJERUMANI KUFANYA UTAFITI
Niliamua kufunga safari ya kiutafiti na kwenda kwenye nchi hizo tajwa. Hii ni kutokana na kwamba
1. Ugriki ndio nchi ilikuwa na watalamu na wameandika vitu vingi sana kuhusu dunia
2. Italia ilikuwa na utawala mkubwa sana hapa duniani na imeathili tamaduni nyingi kupitia Roman Empire.
3. Iran ni kutokana na kwamba waajemi wameongiliana sana na waafrika katika biashara mbalimbali
4. Ujerumani ni moja ya mataifa yaliyoshiriki katika kuligawa bara la africa
Periplus of the Erythraean Sea
Hiki kilikuwa kitu changu cha kwanza kufanyia utafiti. Periplus of the Erythraean Sea maana yake voyage of the Erythraean Sea. Erythraean sea ili husisha Red Sea, Arabian Sea, Persian Gulf, and Indian Ocean.
Ndani ya bahari hiyo kulikuwa na bandari kubwa kubwa msafiri wa kipindi hicho cha 1 CE alizitaja.
Moja ya bandari iliyotajwa katika kitabu hicho cha safari ya baharini ni Rhapta.
Lakini kuna bandari nyingine liyotajwa kwenye kitabu hicho iliyoitwa Muza na kwa sasa eneo hilo linaitwa Yemen.
Sasa nimekusanya taarifa nyingi ambazo zinaeleza kuwa Tanzania ambayo katika kitabu hizo ilijulikana kama Azania na mji wake Mkubwa kabisa kando kando ya bahari uliitwa Rhapta, kuonesha kitabu kilichopotea cha mtu mweusi.
Kitabu hicho kina mambo mengi nitayaeleza kituo kwa kituo.
Huu ulikuwa utangulizi uwe macho nitakavyoendelea kukielezea kitabu hicho na maeneo ya masalia yake yalipoweka na kufichwa.
Leo ninapenda niongelee kitu ambacho nimekuwa nakifuatilia kwa muda mrefu. Imenibidi nikusanye researches zangu zote niweze kuziweka hapa.
TAMADUNI ZA MTU MWEUSI
Nimefuatilia kwenye tamaduni mbalimbali za mtu mweusi nimekutana na ufanano wa mambo mengi sana. Moja ya ufanano wa mambo ni kuptia katika imani zao. Watu weusi walikuwa na imani zinazofanana hususani kuamini kuwa yupo mwenye nguvu zaidi ambaye hatumuoni.
Imani hiyo ilikuwa presented kwa kupitia vitu vinavyoonekana. Si kwamba watu weusi walikuwa wanaabudu miti, milima au jua bali walikuwa wanapitisha hisia zao za imani kupitia vitu vinavyoonekana.
Watu weusi wamekuwa wakitumia dawa za miti kwa miaka mingi sana. Imekuwa ikirithishwa kutoka kizazi hadi kizazi.
SAFARI YANGU YA KWENDA UGRIKI, ITALIA, IRAN NA UJERUMANI KUFANYA UTAFITI
Niliamua kufunga safari ya kiutafiti na kwenda kwenye nchi hizo tajwa. Hii ni kutokana na kwamba
1. Ugriki ndio nchi ilikuwa na watalamu na wameandika vitu vingi sana kuhusu dunia
2. Italia ilikuwa na utawala mkubwa sana hapa duniani na imeathili tamaduni nyingi kupitia Roman Empire.
3. Iran ni kutokana na kwamba waajemi wameongiliana sana na waafrika katika biashara mbalimbali
4. Ujerumani ni moja ya mataifa yaliyoshiriki katika kuligawa bara la africa
Periplus of the Erythraean Sea
Hiki kilikuwa kitu changu cha kwanza kufanyia utafiti. Periplus of the Erythraean Sea maana yake voyage of the Erythraean Sea. Erythraean sea ili husisha Red Sea, Arabian Sea, Persian Gulf, and Indian Ocean.
Ndani ya bahari hiyo kulikuwa na bandari kubwa kubwa msafiri wa kipindi hicho cha 1 CE alizitaja.
Moja ya bandari iliyotajwa katika kitabu hicho cha safari ya baharini ni Rhapta.
Lakini kuna bandari nyingine liyotajwa kwenye kitabu hicho iliyoitwa Muza na kwa sasa eneo hilo linaitwa Yemen.
Sasa nimekusanya taarifa nyingi ambazo zinaeleza kuwa Tanzania ambayo katika kitabu hizo ilijulikana kama Azania na mji wake Mkubwa kabisa kando kando ya bahari uliitwa Rhapta, kuonesha kitabu kilichopotea cha mtu mweusi.
Kitabu hicho kina mambo mengi nitayaeleza kituo kwa kituo.
Huu ulikuwa utangulizi uwe macho nitakavyoendelea kukielezea kitabu hicho na maeneo ya masalia yake yalipoweka na kufichwa.