Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
hello warembo na watanashati,
Ni lotions gani za wadada ambazo ni maarufu ila hajizapigwa marufuku, sio fake na ni nzuri kwa viwango vyake, zenye bei ya kati 5,000-20,000.
Sio vibaya ukinitajia jina la lotion na bei yake unayo/uliowahi kununulia.
thanks.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni lotions gani za wadada ambazo ni maarufu ila hajizapigwa marufuku, sio fake na ni nzuri kwa viwango vyake, zenye bei ya kati 5,000-20,000.
Sio vibaya ukinitajia jina la lotion na bei yake unayo/uliowahi kununulia.
thanks.
Sent using Jamii Forums mobile app