Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Rinju
Kuna 15k -12k (hapa inategema na duka na pia kuna za 20,000 na 25,000
Palmers cocoa butter (napenda inavyonukia) bei kopo dogo 11k kubwa 17k...ila hizi bei ni za Arusha nina uhakika Dar zitakuwa chini kidogo
Nb. Hizo zinafanya unakuwa na kangozi laini tu. Kuhusu mikorogo, I know nothing
Ahsante mkuu, kwa ushirikiano.Rinju
Kuna 15k -12k (hapa inategema na duka na pia kuna za 20,000 na 25,000
Palmers cocoa butter (napenda inavyonukia) bei kopo dogo 11k kubwa 17k...ila hizi bei ni za Arusha nina uhakika Dar zitakuwa chini kidogo
Nb. Hizo zinafanya unakuwa na kangozi laini tu. Kuhusu mikorogo, I know nothing
Ahsante sana mkuu.Pia kuna Veerox ya Almond ni nzuri ila wanajaza sanaa kiasi cha kwamba inafikia stage unachoka kupaka kitu kimoja muda mrefu.
Niliendaga nayo chuo, nikatumia semester nzima ya miezi minne na home nikarudi nayo.
Haha ni kweli veerox wana kopo kubwa kweli..Pia kuna Veerox ya Almond ni nzuri ila wanajaza sanaa kiasi cha kwamba inafikia stage unachoka kupaka kitu kimoja muda mrefu.
Niliendaga nayo chuo, nikatumia semester nzima ya miezi minne na home nikarudi nayo.
kukusumbua tena mkuu Depal, ni lotions zipi tena (tofauti na ulizo zitaja) ambazo unazisikia kwa marafiki na kwa traders mara kwa maraPia kuna Veerox ya Almond ni nzuri ila wanajaza sanaa kiasi cha kwamba inafikia stage unachoka kupaka kitu kimoja muda mrefu.
Niliendaga nayo chuo, nikatumia semester nzima ya miezi minne na home nikarudi nayo.
mkuu, ngozi yako ya uso ni ya mafuta?Mkizijua na za kiume nzur mniambie natoka sana vipele usoni sikuiz
unatumia yapi au hautumii lotion kabisa?Sijui chochote..wanakuja wataalam
Situmii chochote.
Palmers is lit. It has been my favorite for years now.Rinju
Kuna 15k -12k (hapa inategema na duka na pia kuna za 20,000 na 25,000
Palmers cocoa butter (napenda inavyonukia) bei kopo dogo 11k kubwa 17k...ila hizi bei ni za Arusha nina uhakika Dar zitakuwa chini kidogo
Nb. Hizo zinafanya unakuwa na kangozi laini tu. Kuhusu mikorogo, I know nothing
vp na mafuta ya nywele unatumia yapi..Palmers is lit. It has been my favorite for years now.
Nikikosa hela napaka Rinju nyeupe ile nyingine imenishinda harufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda Instagramkukusumbua tena mkuu Depal, ni lotions zipi tena (tofauti na ulizo zitaja) ambazo unazisikia kwa marafiki na kwa traders mara kwa mara
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukikosaje hela wakati bei zake ni zile zile tu Rinju na Palmers.Palmers is lit. It has been my favorite for years now.
Nikikosa hela napaka Rinju nyeupe ile nyingine imenishinda harufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nivea ya kopo jeupeMkizijua na za kiume nzur mniambie natoka sana vipele usoni sikuiz
Nilipo Rinju 10K palmer 20-25KUkikosaje hela wakati bei zake ni zile zile tu Rinju na Palmers.