Loud silence from Kenya High Commision as Kenya's 1st lady skips meeting

Loud silence from Kenya High Commision as Kenya's 1st lady skips meeting

Kichuguu,

..nadhani tatizo ni kesi inayowakabili Uhuru na Ruto.

..kesi hiyo ndiyo inayofanya mahusiano yao na mataifa ya nje yawe complicated kidogo.

..ila mataifa ya magharibi yakiona interest zao zinakuwa affected basi wanaweza "kuibinya" ICC ili kesi hiyo imalizike haraka na Uhuru na Ruto wasipatikane na hatia.

NB:

..Wakenya walionywa na Koffi Annan, lakini kutokana na tabia na kiburi chao cha KIKABILA wakapuuza ushauri huo.

cc: Nyani Ngabu, Kabaridi, @Ab-Tichaz

Eti JokaKuu, hawa marais OBAMA na BUSH wakiwa marekani wanatofautiana, ila hapa afrika tena TZ bara minus wazenji wanaogea na kula kwenye round table moja. There is more than what meets the eye.

Licha ya hayo, Nadhani wakenya walizungumza tena kwa sauti kupitia uchaguzi wa machi 4. Mwaka wa 2007/08 machafuko ya kisiasa yaliingia kenya. Kwa Wakenya kumdeny Odinga urais, they were communicating in way. Too Bad If OBAMA and the US interests cannot read the language kenyans are talking.
 
waafrika inabidi tukubali kuwa siasa za marekani ni tofauti kabisa na siasa za kwetu. Kwetu afrika rais anajiamulia tu kusafiri na anasafiri, hakuna mtu anayehoji kulinganisha matumizi ya pesa za safari na faida ya safari. Ilitakiwa aende mpaka kutalii mbuga za wanyama lakini waserekali wenzake wameikatisha kupunguza gharama, ni nani angeweza kumkataza rais wa afrika asitembelee mbuga eti ili gharama zipungue?
Wakati wa Obama kwenda Kenya bado haujafika ukifika atakwenda.

Kama ulivyoeleza jambo la ICC, kwetu afrika tunaona ni jambo dogo tu, lakini wenzetu wanalichukulia tofauti kabisa, na wanashangaa inakuwaje watu wanawapigia kura watuhumiwa wa uhalifu ili wawaongoze kabla ya kesi haijaamuliwa.

Ikiwa wamarekani wanataka kumshikia bango Obama kwa kutembelea Tanzania nchi ambayo ubalozi wake(DC) una kasha ya kusapoti utumwa itakuwaje akienda kuwatembelea watuhumiwa wa uhalifu wa kuua watu?


Bila kusahau jamaa alikuwa anatafuta chanzo cha kifo cha baba yake, na matokeo yake yana utata kidoogo, sasa sijui.

Kwetu sisi wakenya ICC sio jambo dogo. Hasa katika swala la amani..the ICC does not regard peaceful co-existence between ethnic tribes in kenya. Siasa kawaida huvuta emotions nyingi and all this ICC wamegundua na wanafanya to the advantage ya nchi ya marekani...hakuna mashtaka hapo ya kujadiliwa
...Kama uchaguzi wa machi 4, Itachukua hisia kali za mkenya mwenyewe kupooza na kuumaliza ICC.

Hata hivyo Kenya na TZ zilikuwepo kabla ya OBAMA na ICC, na vilvile, yatabaki tu hivyo...Hivi miaka za arobaini marekani haikuzi kologa vietnam, na kugawanyisha colombia na panama, si yapo tu...bado mataifa hayo na yanaeneza ukomunisti kama kale.. ni nn imebadilika baada ya marekai kuyakologa???
 
Inawauma kama vile umeachwa na mpenzi uliyempenda hadi kumoyo lol

Hata hivyo, maisha bado itaendelea. It's only the weak that keep moaning about being dumped.

Kenyan businessman Mwangi of Equity Bank is said to have attended the meeting of prominent African bisinesspeople with Obama !!!

Prove it, or it never happened. Hearsay is not a fact. Keep trying.

Mkuu,

hii kitu imewauma hata wabishe namna gani...wewe tazama serikali ya Uhuru inayojigonga na maukuta ilimradi
waonekane wababe lakini wapi!...Sasa leo wamekuja na hii...


Kenyan govt snub US Independence Day celebrations



By AGGREY MUTAMBO amutambo@ke.nationmedia.com
Posted Thursday, July 4 2013 at 04:39


In Summary


  • In his recent African tour, President Obama skipped Kenya in what he argued was because of the ICC cases facing Kenya’s President Uhuru Kenyatta and his deputy William Ruto. But he promised to visit before his term expires in three years.
  • The US recently announced a $3 million (Sh255 million) sponsorship to Kenya in fighting animal poaching and trafficking. In an Executive order by President Barrack Obama, the US announced the money last weekend to combat wildlife poaching and to help Kenya to build institutions to fight the vice that has threatened to eliminate elephants and rhinos.

The government Wednesday gave a wide berth to the US independence celebrations at the US embassy in Nairobi, even as the US envoy in Nairobi asked for tougher laws on poaching.

At a function in which top government officials were invited, there was no president, his deputy, cabinet secretary or principal secretary at the function.

The celebrations came just two days after President Obama completed his Africa tour without setting foot on his father’s soil -Kenya.

The Jubilee government sent Senate Speaker Ekwe Ethuro and a number of junior officials from the Foreign Affairs Ministry. There were several constitutional Commission heads such as Charles Nyachae of the Constitutional Implementation Commission (CIC).

There was no immediate explanation on why top government officials skipped the event.

However, Cord leader Raila Odinga and United Democratic Front party leader Musalia Mudavadi were in attendance.

In his recent African tour, President Obama skipped Kenya in what he argued was because of the ICC cases facing Kenya’s President Uhuru Kenyatta and his deputy William Ruto. But he promised to visit before his term expires in three years.

Wednesday, despite the glaring absence of the Jubilee government officials, Speaker Ekwe Ethuro said there would be something Kenyans would learn from the US’s endurance in their 237 years of independence.

“We are just 50 years old, but we can learn that there is life after 237 years,” he said.

US Ambassador to Nairobi Robert Godec insisted that Kenya remains a crucial partner in fighting global threats that also affect the US.

“It is important to underscore our friendship and the 50-yar partnership we have had and build on that partnership going forward,” he said.

Mr Godec said Kenya should have tougher anti-poaching laws in place as a way of taming the vice.

“Yes, I would encourage Kenya to increase the penalty. I look forward to that happening. It is important to increase the penalty against poaching,” he said at his residence in Nairobi.

The US recently announced a $3 million (Sh255 million) sponsorship to Kenya in fighting animal poaching and trafficking. In an Executive order by President Barrack Obama, the US announced the money last weekend to combat wildlife poaching and to help Kenya to build institutions to fight the vice that has threatened to eliminate elephants and rhinos.

Despite the move, Kenya’s laws are still too lenient to those found in possession of illegal wildlife hides, ivory or rhino horns. For example, most of those recently found with illegal ivory have been fined just Sh30, 000 yet a kilo of ivory goes for Sh40, 000 in the black market.

At the US Independence eve Wednesday, Mr Godec said it would be important for Kenya to have heavier laws, besides having the financial muscle to combat poaching.

“The threat poaching poses to Kenya and other countries means it so important to get the penalties in place to deter poaching, and to put away all those who are responsible for it.”

“Already, I have been very pleased to see the commitment shown by the government of Kenya and the Kenya wildlife service and by many civil society organizations and partner governments including the United States to combat wildlife trafficking.”

Kenyan govt snub US Independence Day celebrations - News - nation.co.ke

During Uhuru Kenyatta's Presidential inauguration, he clearly stated that there should be mutual respect between countries. The age of one acting like an overlord while the other is seen merely as a subject is long gone in Kenya's diplomatic circle. You'd be in remiss to think that the current government would send any senior official to that shindig just to placate them. I'm sure the Americans would have been surprised if that had happened. Kenyans have already moved on.
FYI, no sitting US president has ever set foot in Kenya since independence, but that hasn't stopped Kenya from being what it is today in East, Central & Horn of Africa. Take a minute to digest that.
 
As a matter of policy I do not engage with people suffering from verbal diarhoea.or is it acquired intelligence deficiency? syndrome?

Choices have consequences!
How in the world do you expect the potus to meet with a criminal?
 
Back
Top Bottom