Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Kuna baadhi yetu hatujui ni wakati gani na mazingira gani tutumie loud speaker katika rununu zetu, kwakuwa ipo hiyo option basi wewe unatumia tu.
Kuwa muangalifu sana unapotumia loud speaker, ikiwa ni maongezi ambayo sio nyeti basi waeza kusikiliza ukiwa mbele za watu lkn kama ni mazungumzo muhimu na yenye usiri basi usitumie loud speaker mbele za watu
Inanikumbusha baba yangu mdogo ambaye ametangulia mbele za kazi, huko way back aliwahi kunionganisha na kazi moja ya supervisor wa hotel, basi akanipigia simu kunipa details za hiyo hotel khee kumbe kaweka loud speaker na yupo hadhir na boss mwenyewe!
Sasa mimi sina habar nikamuhoji mambo ambayo isingefaa boss kuyasikia toka kwa muajiri wake, lkn God is good nikapata kazi pale nikapiga miezi kadhaa.
Kwahiyo ni vizur sana kutumia loud speaker ili kupunguza madhara ya mionzi katika ubongo wetu,ndio maana mataifa yalio endelea wanapendelea sana text msgs
Sasa mchongo uko hivi sina hili wala lile nipo home mara nasikia tii tii tii tii mara pap jirani yangu anapokea simu ipo loud speaker fundi anampa maelekezo wakutane sehemu fulani, namsikia jirani yangu kwa roho safi kabisa anajibu kuwa mda si mrefu atakuwepo hapo.
Hayo ndio mambo ya loud speaker yakitumiwa vibaya,,nisingejua yaliyomo yamo kama si loud speaker ya fundi
Ni hayo tu!
Kuwa muangalifu sana unapotumia loud speaker, ikiwa ni maongezi ambayo sio nyeti basi waeza kusikiliza ukiwa mbele za watu lkn kama ni mazungumzo muhimu na yenye usiri basi usitumie loud speaker mbele za watu
Inanikumbusha baba yangu mdogo ambaye ametangulia mbele za kazi, huko way back aliwahi kunionganisha na kazi moja ya supervisor wa hotel, basi akanipigia simu kunipa details za hiyo hotel khee kumbe kaweka loud speaker na yupo hadhir na boss mwenyewe!
Sasa mimi sina habar nikamuhoji mambo ambayo isingefaa boss kuyasikia toka kwa muajiri wake, lkn God is good nikapata kazi pale nikapiga miezi kadhaa.
Kwahiyo ni vizur sana kutumia loud speaker ili kupunguza madhara ya mionzi katika ubongo wetu,ndio maana mataifa yalio endelea wanapendelea sana text msgs
Sasa mchongo uko hivi sina hili wala lile nipo home mara nasikia tii tii tii tii mara pap jirani yangu anapokea simu ipo loud speaker fundi anampa maelekezo wakutane sehemu fulani, namsikia jirani yangu kwa roho safi kabisa anajibu kuwa mda si mrefu atakuwepo hapo.
Hayo ndio mambo ya loud speaker yakitumiwa vibaya,,nisingejua yaliyomo yamo kama si loud speaker ya fundi
Ni hayo tu!