Amemaanisha unakaa uswahilini hivyo hama nenda ushuaniEti unadhani nimemuelewa huyo mwamba mwenye comment namba 15 ππ
Mwambie tangu nipo kwa wazazi nilikuwa naishi ushuaniAmemaanisha unakaa uswahilini hivyo hama nenda ushuani
Tafuta hela ujenge nyumba yako na sio upange na watu wengi kwenye nyumba moja
Hivyo ndivyo nilivyomuelewa
Hongera sana..!Mwambie tangu nipo kwa wazazi nilikuwa naishi ushuani
Hata now npo ushuani mumy
ππHongera sana..!
Mashankupe ya uswazi ndiyo zao. Likiwa na danga lake, akipiga simu na yeye yuko na shoga zake ni lazima aweke loud speaker ili wenzake wasikilize. Pia kuna kundi la la vikoba la kina mama fulani nawajua, wana hii tabia. Mume wa mmoja wao akipiga simu ni lazima anaweka loud ili wenzake wasikilize. Siku moja nilisikia wanasikiza mume wa mmoja wao anapiga simu kuulizia mbona amechelewa kurudi nyumbani. Akamjibu kuwa kuna foleni ya kufa mtu kumbe wamekaa sehemu wanakunywa. Baada ya kukata simu wakaangua kicheko wote.Na wengine wanakera wanaongea upuuzi mtupu
Just imagine watu wamekosa haya wanaweka loud katika daladala fc them
Wapuuzi sanaMashankupe ya uswazi ndiyo zao. Likiwa na danga lake, akipiga simu na yeye yuko na shoga zake ni lazima aweke loud speaker ili wenzake wasikilize. Pia kuna kundi la la vikoba la kina mama fulani nawajua, wana hii tabia. Mume wa mmoja wao akipiga simu ni lazima anaweka loud ili wenzake wasikilize. Siku moja nilisikia wanasikiza mume wa mmoja wao anapiga simu kuulizia mbona amechelewa kurudi nyumbani. Akamjibu kuwa kuna foleni ya kufa mtu kumbe wamekaa sehemu wanakunywa. Baada ya kukata simu wakaangua kicheko wote.
Mkuu umeongea kweli kabosa aisee!Kuna baadhi yetu hatujui ni wakati gani na mazingira gani tutumie loud speaker katika rununu zetu, kwakuwa ipo hiyo option basi wewe unatumia tu.
Kuwa muangalifu sana unapotumia loud speaker, ikiwa ni maongezi ambayo sio nyeti basi waeza kusikiliza ukiwa mbele za watu lkn kama ni mazungumzo muhimu na yenye usiri basi usitumie loud speaker mbele za watu
Inanikumbusha baba yangu mdogo ambaye ametangulia mbele za kazi, huko way back aliwahi kunionganisha na kazi moja ya supervisor wa hotel, basi akanipigia simu kunipa details za hiyo hotel khee kumbe kaweka loud speaker na yupo hadhir na boss mwenyewe!
Sasa mimi sina habar nikamuhoji mambo ambayo isingefaa boss kuyasikia toka kwa muajiri wake, lkn God is good nikapata kazi pale nikapiga miezi kadhaa.
Kwahiyo ni vizur sana kutumia loud speaker ili kupunguza madhara ya mionzi katika ubongo wetu,ndio maana mataifa yalio endelea wanapendelea sana text msgs
Sasa mchongo uko hivi sina hili wala lile nipo home mara nasikia tii tii tii tii mara pap jirani yangu anapokea simu ipo loud speaker fundi anampa maelekezo wakutane sehemu fulani, namsikia jirani yangu kwa roho safi kabisa anajibu kuwa mda si mrefu atakuwepo hapo.
Hayo ndio mambo ya loud speaker yakitumiwa vibaya,,nisingejua yaliyomo yamo kama si loud speaker ya fundi
Ni hayo tu!
Sever ndo nini.?Sever za JF ziko na KAZI.
KAZI ni kipimo cha UTU
Bana wee situngishi mtihani kuelewa sio lazimaππEti unadhani nimemuelewa huyo mwamba mwenye comment namba 15 ππ