Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #21
Unajua maana ya freedom of worship?Siyo muhubiri mimi so sizijui hizo kanuni lakini kikawaida tu kanuni ya kwanza ya kusema chochote kwenye hadhira iliyojaa watu msiofungamana itikadi ni kuheshimu vile ulivyowakuta navyo eg mawazo imani mitazamo .
Na hiki kitu kwa wahubiri wengi wa kilokole hawana.