Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
-
- #21
Unajua maana ya freedom of worship?Siyo muhubiri mimi so sizijui hizo kanuni lakini kikawaida tu kanuni ya kwanza ya kusema chochote kwenye hadhira iliyojaa watu msiofungamana itikadi ni kuheshimu vile ulivyowakuta navyo eg mawazo imani mitazamo .
Na hiki kitu kwa wahubiri wengi wa kilokole hawana.
Si uhuru wa kuabudu mbona hiyo democracy yenu kama ipo upande mmoja.Sasa hapo na wewe mkuu umeboronga! Marekani na uislamu wapi na wapi? Kwa waarabu sawa!
Ndio chuki hizi tunaongelea , chanzo cha malumbano ...Dini ya uislamu ninavyoijua mimi haina uhuru! Ni dini inayodumaza uhuru wa akili na kujitambua!
Bora waanze kurudi kwenye misingi ya Mungu, maana ukengeufu umekuwa mkubwa sanaTaifa la marekani msingi wake ni amri 10 za Mungu. Ndo maana ya In God we trust
Ukiona mtu anakuhukumu au kukusema kuhusu dhambi yako mshukuru maana anakupa habari ya kuepuka moto wa Jehanum. Iwapo hatumii neno la Mungu au hekima ya neno la Mungu hapo ndio kuna changamoto. Siyo wewe ni mdhambi au mzinzi halafu useme walokole wanakuponda. Kimsingi wanamponda shetani anayekufanya ufanye dhambi. Geuka.As for me walokole huwa hawahubiri neno la Mungu wanachofanya wao ni kuwashambulia wasiokuwa wenzao.
Kusimama mbele ya hadhira ya watu wenye imani tofauti tofauti na kuanza kuwatukania imani zao ambazo wewe hujawahi kuzisoma kwa undani huku ya kwako hawajawahi kuigusa siyo jambo jema.