Louisiana Yawa Jimbo la Kwanza Marekani Kuanzisha Adhabu ya Kuhasi kwa Wabakaji wa Watoto

Louisiana Yawa Jimbo la Kwanza Marekani Kuanzisha Adhabu ya Kuhasi kwa Wabakaji wa Watoto

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
1725276672281.png

Jimbo la Louisiana limekuwa la kwanza nchini Marekani kuidhinisha sheria inayoruhusu kuhasiwa (kuwakata korodani) kwa wabakaji wa watoto, walio chini ya umri wa miaka 13 kama adhabu ya jinai.

Sheria hiyo, ambayo ilianza kutekelezwa Agosti 1, inawahusu wahalifu wenye umri wa kuanzia miaka 17.

Sheria imeruhusu majaji kutoa amri ya kuhasi kwa kutumia kemikali. Hata hivyo, kuna baadhi ya hali ambapo mhalifu aliyehukumiwa anaweza asistahili adhabu hiyo, jambo ambalo litabainishwa na jaji pamoja na daktari wa gereza.

Adhabu ya kuhasiwa pia inatumika katika nchi zingine zinazojulikana kwa vikwazo vikali zaidi vya uhalifu, ikiwa ni pamoja na Jamhuri ya Czech na Nigeria.
 
Lengo ni kujaza mashoga na kufuta uwepo wa mwanaume duniani sa ukishamfanyia ivo mwanaume knachofata uwenda akaanza kupgwa mshedede tu. Si bora apewe adhabu nyngne tu. Vp na kwa mwanamke anayerubuni mtoto wa chn ya miaka 18 amuingilie yeye ana adhabu gn why iwe kwa wanaume tu.
 
Lengo ni kujaza mashoga na kufuta uwepo wa mwanaume duniani sa ukishamfanyia ivo mwanaume knachofata uwenda akaanza kupgwa mshedede tu. Si bora apewe adhabu nyngne tu. Vp na kwa mwanamke anayerubuni mtoto wa chn ya miaka 18 amuingilie yeye ana adhabu gn why iwe kwa wanaume tu.
Unaamanisha 50 kwa 50?
 
Lengo ni kujaza mashoga na kufuta uwepo wa mwanaume duniani sa ukishamfanyia ivo mwanaume knachofata uwenda akaanza kupgwa mshedede tu. Si bora apewe adhabu nyngne tu. Vp na kwa mwanamke anayerubuni mtoto wa chn ya miaka 18 amuingilie yeye ana adhabu gn why iwe kwa wanaume tu.
kuwa mwanaume sio kigezo chakubaka mkuu,siku afanyiwe mtoto wako kitendo cha ubakaji jaribu kuhisi maumivu wanayopitia wazazi wa watoto wanaofanyiwa hivyo vitendo
 
Ukishafanya hivyo labda umfunge gerezani milele. Maana akiachiwa uraiani atakuwa mwehu, asiye na malengo na likely kuwa serial killer!
 
Back
Top Bottom