Khaaa! Hongera25 kwa sasa
Asante fungua pm tuzungumzeKhaaa! Hongera
Una maneno mshangazi kama mzaramo vileEeh ndio hivyo uzuri yeye mzabzab hachagui habagui atayemzika hamjuiππ
Mimi nakupendaga wewe sio mbaguzi yaani,binadamu wote ni sawaπUna maneno mshangazi kama mzaramo vile
Jamaa anafaidi sana....mwanamke akupende yeye alooh mbususu yote anakususiaHey guys
Imeshawahi kutokea ile hali umemuona mtu mara moja tu ukatamani awe wako?
Imenikuta stendi ya mabus mkoa fulani kuja Dar. Siku nafika pale nikamuona mkaka mmoja amazing,sijui kwanini alikuwa ananiangalia vizuri namna ile...kimoyo moyo nikaweka sala fupi "ee Mungu huyu kaka hata nisipokaa nae seat moja naomba nisafiri nae bus moja tu" halafu nikamalizia na Amen,nikaingia kwenye bus
Nimefika kwenye bus nikakaa nikiendelea kusali sala ile ile ya Mungu asaidie yule kaka kuwepo ndani ya bus nililopo,nikajisemea ngoja nitoke ndani ya bus nijifanye naenda washroom ili nimuone hata mara nyingine,nikatoka nikaenda washroom
Mungu ni mkuu jamani, nilivyotoka washroom nikaingia ndani ya bus nikamuona yule kaka ndani ya lile bus, mimi namba 9 yeye 10
Sikuwahi kuona safari fupi kama ile japo kiuhalisia ni safari ndefu mnoooo, masaa yalikimbia fasta kinyama huku tukiwa tumezoeana kama vile tulikuwa tunafahamiana kabla.
Hiyo ni mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo,tumekamilisha mwaka with my man ππ Japo haiwahusu wala haiwasaidii kitu lakini nawaambia tu...nampenda huyu mwanaume
Naona kila kitu changu kinampenda,macho yakimuona napata ile amani ambayo siipati kwa yoyote,mwili wangu umemkubali mana nina hisia kali sana juu yake,nikiisikia sauti yake napata ile hamasa ya kuendelea kumsikiliza akiongea hata kama haongei na mimi
Sijawahi kuwa mdau ya ngono lakini tangu nikutane naye nataka kila muda tuwe peke yetu chumbani
Cheers to many years with my man π₯
Am so in love!
Kila saa imenyeshewa na mvuaJamaa anafaidi sana....mwanamke akupende yeye alooh mbususu yote anakususia
Wanamaliza style zote na kuanza kuunda za kwaoKila saa imenyeshewa na mvua
BalaaaπWanamaliza style zote na kuanza kuunda za kwao
Ndo shida ya kua muhandsome.Kipindi flani ka mwili kalipo anza kunona. Kila jumapili navaa vizuri naenda kanisani. Siku moja Ile nimefika kanisani nimekaa sina hili Wala lile mdada mmoja akageuka nyuma tukakutanisha macho ilikua just waaoo.
Yule dada alitoka alipo kua amekaa akaja moja kwa moja kwenye siti yangu akaomba mtu mmoja ampishe ili azungumze na mimi akiwa na furaha Sana na ndio ilikua first time tumeonana.
Alinichangamkia akanihoji vitu vingi ikawa Kama watu tulio kutana zamani na tulio Juana muda mrefu ali fall in love at first sight sikua interested kuchukua namba yake Ila akapokonya simu yangu huwa siweki password akaandika namba na kujipigia akiwa na furaha Sanaa.
Tukawa tuchati Sana pigiwa Sana simu usiku Akaniambia ili ingiwa na shauku, alinipenda at first sight na hakutaka anipoteze tukawa tuna hang out beach, nikatambulishwa kwa ndugu, akanipeleka kwake maana alikua na kazi nzurii tu, tunaenda church wotee tuka date.
Ni Mimi tu sikumchukulia serious dada wa watu baadae nikawa busy namba niliyo mpa ilipotea na sikuirudisha
Nina matukio mengi Sana ya kupendwa na wadada katika upbringing yangu Leo nimetoa kimojaa nikipata wasaa ntakua naongezea hapa.
Kuna vumbuzi Fulani tuliwai vumbua na yaan ever sijawai ona even kwenye x au popote Mimi na partner wangu yuleWanamaliza style zote na kuanza kuunda za kwao
Wagegede mwanawane tena usiishia hapo mwagia mbegu kabisaaa watakupenda zaidi nanzaidiKipindi flani ka mwili kalipo anza kunona. Kila jumapili navaa vizuri naenda kanisani. Siku moja Ile nimefika kanisani nimekaa sina hili Wala lile mdada mmoja akageuka nyuma tukakutanisha macho ilikua just waaoo.
Yule dada alitoka alipo kua amekaa akaja moja kwa moja kwenye siti yangu akaomba mtu mmoja ampishe ili azungumze na mimi akiwa na furaha Sana na ndio ilikua first time tumeonana.
Alinichangamkia akanihoji vitu vingi ikawa Kama watu tulio kutana zamani na tulio Juana muda mrefu ali fall in love at first sight sikua interested kuchukua namba yake Ila akapokonya simu yangu huwa siweki password akaandika namba na kujipigia akiwa na furaha Sanaa.
Tukawa tuchati Sana pigiwa Sana simu usiku Akaniambia ili ingiwa na shauku, alinipenda at first sight na hakutaka anipoteze tukawa tuna hang out beach, nikatambulishwa kwa ndugu, akanipeleka kwake maana alikua na kazi nzurii tu, tunaenda church wotee tuka date.
Ni Mimi tu sikumchukulia serious dada wa watu baadae nikawa busy namba niliyo mpa ilipotea na sikuirudisha
Nina matukio mengi Sana ya kupendwa na wadada katika upbringing yangu Leo nimetoa kimojaa nikipata wasaa ntakua naongezea hapa.
At style ya msomali kafia kwenye fiat haifui dafu au sioKuna vumbuzi Fulani tuliwai vumbua na yaan ever sijawai ona even kwenye x au popote Mimi na partner wangu yule
Aiseee hii dunia ina vumbuzi ngumu ngumu..
Utakuwa unafaa kwa matumizi ya binadamu.,shake well before use,weka mahali pasipofika watoto...πππππππKipindi flani ka mwili kalipo anza kunona. Kila jumapili navaa vizuri naenda kanisani. Siku moja Ile nimefika kanisani nimekaa sina hili Wala lile mdada mmoja akageuka nyuma tukakutanisha macho ilikua just waaoo.
Yule dada alitoka alipo kua amekaa akaja moja kwa moja kwenye siti yangu akaomba mtu mmoja ampishe ili azungumze na mimi akiwa na furaha Sana na ndio ilikua first time tumeonana.
Alinichangamkia akanihoji vitu vingi ikawa Kama watu tulio kutana zamani na tulio Juana muda mrefu ali fall in love at first sight sikua interested kuchukua namba yake Ila akapokonya simu yangu huwa siweki password akaandika namba na kujipigia akiwa na furaha Sanaa.
Tukawa tuchati Sana pigiwa Sana simu usiku Akaniambia ili ingiwa na shauku, alinipenda at first sight na hakutaka anipoteze tukawa tuna hang out beach, nikatambulishwa kwa ndugu, akanipeleka kwake maana alikua na kazi nzurii tu, tunaenda church wotee tuka date.
Ni Mimi tu sikumchukulia serious dada wa watu baadae nikawa busy namba niliyo mpa ilipotea na sikuirudisha
Nina matukio mengi Sana ya kupendwa na wadada katika upbringing yangu Leo nimetoa kimojaa nikipata wasaa ntakua naongezea hapa.
Mbususu sio kitu yakuonea wivu. Wacha bby akaonje de liboloz, kibamia kinachosha ujuemzabzab unaibiwa huku πΉ
Ngono ndio burudani nambari wani dunianiHayo ndio mambo mzabzab anapenda kusikiliza
Nilisha umiza mioyo ya watu nikajifunza "Love is just like a war easy to start difficult to end.Ndo shida ya kua muhandsome.
HaaahaaπππβΊοΈUtakuwa unafaa kwa matumizi ya binadamu.,shake well before use,weka mahali pasipofika watoto...πππππππ
Hataree.At style ya msomali kafia kwenye fiat haifui dafu au sio