Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁View attachment 3215962Yenye chumvi
😂 ila wewe badala ya niniAsante mkuu Half american
Upendo uendelee kama hivi na Mungu asaidie niishi nae mara nyingi zaidi manake si unaona saa saba hii napiga mdomo JF badala ya... 😂
Kumbe! Kuku mjanja hunaswa.....Hey guys
Imeshawahi kutokea ile hali umemuona mtu mara moja tu ukatamani awe wako?
Imenikuta stendi ya mabus mkoa fulani kuja Dar. Siku nafika pale nikamuona mkaka mmoja amazing,sijui kwanini alikuwa ananiangalia vizuri namna ile...kimoyo moyo nikaweka sala fupi "ee Mungu huyu kaka hata nisipokaa nae seat moja naomba nisafiri nae bus moja tu" halafu nikamalizia na Amen,nikaingia kwenye bus
Nimefika kwenye bus nikakaa nikiendelea kusali sala ile ile ya Mungu asaidie yule kaka kuwepo ndani ya bus nililopo,nikajisemea ngoja nitoke ndani ya bus nijifanye naenda washroom ili nimuone hata mara nyingine,nikatoka nikaenda washroom
Mungu ni mkuu jamani, nilivyotoka washroom nikaingia ndani ya bus nikamuona yule kaka ndani ya lile bus, mimi namba 9 yeye 10
Sikuwahi kuona safari fupi kama ile japo kiuhalisia ni safari ndefu mnoooo, masaa yalikimbia fasta kinyama huku tukiwa tumezoeana kama vile tulikuwa tunafahamiana kabla.
Hiyo ni mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo,tumekamilisha mwaka with my man 😊😊 Japo haiwahusu wala haiwasaidii kitu lakini nawaambia tu...nampenda huyu mwanaume
Naona kila kitu changu kinampenda,macho yakimuona napata ile amani ambayo siipati kwa yoyote,mwili wangu umemkubali mana nina hisia kali sana juu yake,nikiisikia sauti yake napata ile hamasa ya kuendelea kumsikiliza akiongea hata kama haongei na mimi
Sijawahi kuwa mdau ya ngono lakini tangu nikutane naye nataka kila muda tuwe peke yetu chumbani
Cheers to many years with my man 🥂
Am so in love!
Ushaniacha njia panda hapo😂HHeheheheheh
Dah 😅😅😅Ushaniacha njia panda hapo😂
Amalizie sentensi yakeDah 😅😅😅
Easy easy easy Mkuuu 😉Hivi TBH njinjo huwa unanichukuliaje?
Juzi kati nimechapia nimeandika MARUMBANO badala ya MALUMBANO ukaja kunishangaa eti hata mimi
Haya leo eti kuku mjanja,maana yake mimi sio mtu wa mapenzi ama niaje?
Mimi sio binadamu sio?
Haikupaswa kuwa hivi 😂Badala ya kulala Half american na Manyanza
Wajumbe tumepoteana hapa sijui Mjumbe Half american anakubaliana na wewe. 🤣🤣🤣Badala ya kulala Half american na Manyanza
Post #376 nimepingaHaikupaswa kuwa hivi 😂
😂😂😂Ni hivyo sasa 😂
Kauli zako, misimamo yako, wajihi wako na hulka yako (kimaandishi) inakakisi mtu fulani. Kuna watu humu ndani ni wa kuigwa, inapokuwa ndivyo sivyo, majukumu ya vikongwe siye ni kuwakumbusha tu!Hivi TBH njinjo huwa unanichukuliaje?
Juzi kati nimechapia nimeandika MARUMBANO badala ya MALUMBANO ukaja kunishangaa eti hata mimi
Haya leo eti kuku mjanja,maana yake mimi sio mtu wa mapenzi ama niaje?
Mimi sio binadamu sio?