PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Bado tu hamjaoana.!
Mmeachana nilie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tu hamjaoana.!
Mmeachana nilie?
HahahaMaskini..
Joanah kapata wa kumkojoza ipasavyo.
Mabazazi kazi mnayo kumngoa mtoto huyu.
Daah we jamaaa mchawiii kichiziii yaan.
Kila la heri kwenu wapendanao, kama harusi bado msiache kunialika, nitachangia.Hapana aseeee
Ningeachana nae ningeshaomba mods wanisaidie kuufuta ama kuufunga 🤣
Huyu ndo until death do us part
HahahaDuh, kidume nasafiri mno mno ila sijawahi kupata hio bahati ya kukaa nna binti. Juzi kati natoka Mbeya kufika Igurusi akapanda binti ana rangi nzuri sana, nyeusi flani hivi, nilikua siti namba mbili, yeye akakaa pale, akanichangamkia mno. Dah, ghafla Agent kaja kumuondoa pale kamwambia siti INA MTU aiiseee nililaani dah
Aisee Mungu akufanikishe kulitimiza hilo.Bado tupo nishafika
Kila la heri kwenu wapendanao, kama harusi bado msiache kunialika, nitachangia.
Ndoa tayari
Member mmoja humu aliniambia anahisi nilipotea kidogo wakati fulani sababu ya harusi...na ilikuwa kweliupd, b
Akaja akahisi tena nina mimba,hapa alikosea 🤣lmz.
Hongereni kwa mara nyingine kwa kutimiza love goals, ni wachache hufikia mafanikio hayo kwa upendo.Ndoa tayari
Member mmoja humu aliniambia anahisi nilipotea kidogo wakati fulani sababu ya harusi...na ilikuwa kweli
Akaja akahisi tena nina mimba,hapa alikosea 🤣
Na hii ndio point niliyokua naitafuta mwalimu wako mimi hapa wa Mwandiko ili nikupe marks ya hii imla uliyoandika leo, kwa hio tangu mwaka 2020 amekubandua mara ngapi hapo chumbani kwake wenyewe mnaita ghetto?Sijawahi kuwa mdau ya ngono lakini tangu nikutane naye nataka kila muda tuwe peke yetu chumbani
Asante mkuu Half americanHongereni kwa mara nyingine kwa kutimiza love goals, ni wachache hufikia mafanikio hayo kwa upendo.
Mungu awabariki mpate na matunda ya upendo wenu.
Badala ya.....Asante mkuu Half american
Upendo uendelee kama hivi na Mungu asaidie niishi nae mara nyingi zaidi manake si unaona saa saba hii napiga mdomo JF badala ya... 😂
Uwe na kiasi aisee na huu mtandao Tuachie mabachela tuvimbe 🤣🤣🤣Enheeee 🤣