Love at first sight

So haya mambo yapo Sana na tukisema tushuhudie shuhuda ni nyingi..
 
Zinakuwaga nyege wala sio mapenzi 😹😹
Mkishanjunjana na gubu linaanza, mara pap mnapigana chini..!!

Kuna mkaka nilipanda naye bus alikuwa ananitolea macho nikajua kanielewa kumbe anafikiria jinsi ya kuachia shuzi..!! Bus lilikuwa na AC lakini tulifungua madirisha 🀣
 
Hii mbona kali sana
 
Alijikausha au ilikuaje maana kusababisha gari ifunguliwe madirishaa huo ushuzi ni wa SGR 😊 😊 πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜‚
 
Seat namba 9 na namba 10 nayo ulipata shida hivyo ya kumtafuta!! πŸ˜€
Kila la Heri kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…