Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hawapatikani kirahisi.....sisi ndio tupo 😂😂😂Hongereni sana.Mnawapata wapi jamani?
mkuu tumeshuhudia machapisho mengi ya vijana wanaokua-dmire humu ndaniAsante mkuu
Hakuna anayenitaka humu
Sisi wajibizana na wanaume kwenye comments jf[emoji23][emoji23][emoji23]Hawapatikani kirahisi.....sisi ndio tupo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi wajibizana na wanaume kwenye comments jf[emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Aaah heri ya kutimiza mwaka mmoja katika furaha yenu ya malavidavi,, oooohwww imekaa kama birthday wish vile,, hongereni tena,, kadunia kalivyochafuka ukibahatika kupendwa hivi lazima ujione una bahati,, na penzi la kweli na la kudumu huwa linajidhihirisha baada ya miezi 6 mpaka mwaka..... Sasa kwa shangwe hizi na Ni mwaka, mdogo wangu km nakuona genye zake usivyomshiba Yani,, unatamani umle mzima mzima😋😋😋😋😋Asante dadaaa
Lakini sio birthday yake leo
Hso waliopo sasa 😂🙌
Ni wewe??😂Love you sweetheart...hakika umekua mwema kwangu..!
Na leo nitakupa mnyapio ule unapendaga .
You just hit and run eeh? Unahisi ni kwanini wanafall hivo? Are you a good looking person? Unanukia vizurii🤪Imetokea sio Mara moja wadada Wana fall at first sight kwangu huwa nawaonea hurumaa ila ending point huwaga sio nzuri...
Kwaiyo ww ndio ulianza kumtongoza? [emoji12]Hey guys
Imeshawahi kutokea ile hali umemuona mtu mara moja tu ukatamani awe wako?
Imenikuta stendi ya mabus mkoa fulani kuja Dar
Siku nafika pale nikamuona mkaka mmoja amazing,sijui kwanini alikuwa ananiangalia vizuri namna ile...kimoyo moyo nikaweka sala fupi "ee Mungu huyu kaka hata nisipokaa nae seat moja naomba nisafiri nae bus moja tu" halafu nikamalizia na Amen,nikaingia kwenye bus
Nimefika kwenye bus nikakaa nikiendelea kusali sala ile ile ya Mungu asaidie yule kaka kuwepo ndani ya bus nililopo,nikajisemea ngoja nitoke ndani ya bus nijifanye naenda washroom ili nimuone hata mara nyingine,nikatoka nikaenda washroom
Mungu ni mkuu jamani,nilivyotoka washroom nikaingia ndani ya bus nikamuona yule kaka ndani ya lile bus,mimi namba 9 yeye 10
Sikuwahi kuona safari fupi kama ile japo kiuhalisia ni safari ndefu mnoooo,masaa yalikimbia fasta kinyama huku tukiwa tumezoeana kama vile tulikuwa tunafahamiana kabla...
Hiyo ni mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo,tumekamilisha mwaka with my man [emoji4][emoji4]
Japo haiwahusu wala haiwasaidii kitu lakini nawaambia tu...nampenda huyu mwanaume
Naona kila kitu changu kinampenda,macho yakimuona napata ile amani ambayo siipati kwa yoyote,mwili wangu umemkubali mana nina hisia kali sana juu yake,nikiisikia sauti yake napata ile hamasa ya kuendelea kumsikiliza akiongea hata kama haongei na mimi
Sijawahi kuwa mdau ya ngono lakini tangu nikutane nae nataka kila muda tuwe peke yetu chumbani
Cheers to many years with my man [emoji1635]
Am sooooooooooo in love!!
Of course mimi nimerithi sura nzuri ya mama na mwili mzuri wa baba....You just hit and run eeh? Unahisi ni kwanini wanafall hivo? Are you good looking person? Unanukia vizurii🤪
Ok, uko vizuri mkuu👏 so huwa hutulii na babe mmoja? Au huyo yupo na watakaojilengesha unapita nao? 🤭Of course mimi nimerithi sura nzuri ya mama na mwili mzuri wa baba....
Ukiniona tu utagundua ni mtu mpole, mkarimu na mwema, mwenye mvuto na everything you need ambae ulikua unamuota....
So it depend..Ila ukinivutia sikuachi usipo nivutia huwa sikukuli...
Huwa sitaki kuumiza moyo wa bint na nipo real kama jina langu usipo nivutia nakupotezea ila nikwambie kitu kuna wadada ukiwa mwanaume ulie kamili Huwezi waacha waende....Am 4 real.Ok, uko vizuri mkuu👏 so huwa hutulii na babe mmoja? Au huyo yupo na watakaojilengesha unapita nao? 🤭