Love at first sight

Love at first sight

Asante dadaaa
Lakini sio birthday yake leo
😂😂😂😂Aaah heri ya kutimiza mwaka mmoja katika furaha yenu ya malavidavi,, oooohwww imekaa kama birthday wish vile,, hongereni tena,, kadunia kalivyochafuka ukibahatika kupendwa hivi lazima ujione una bahati,, na penzi la kweli na la kudumu huwa linajidhihirisha baada ya miezi 6 mpaka mwaka..... Sasa kwa shangwe hizi na Ni mwaka, mdogo wangu km nakuona genye zake usivyomshiba Yani,, unatamani umle mzima mzima😋😋😋😋😋

Enjoy hun
 
Haya sasa, wanawake na nyie mtupe majibu huwa mnafanyaje katika situation kama hii iliyomkuta mtoa mada mwaka uliopita. Mtoa mada amekwisha kueleza yeye alisali wapande bus moja.
 
Imetokea sio Mara moja wadada Wana fall at first sight kwangu huwa nawaonea hurumaa ila ending point huwaga sio nzuri...

Kaka zangu wa ukoo Huwa wananambia KUA mini ni mbegu nzuri
 
Hey guys

Imeshawahi kutokea ile hali umemuona mtu mara moja tu ukatamani awe wako?

Imenikuta stendi ya mabus mkoa fulani kuja Dar
Siku nafika pale nikamuona mkaka mmoja amazing,sijui kwanini alikuwa ananiangalia vizuri namna ile...kimoyo moyo nikaweka sala fupi "ee Mungu huyu kaka hata nisipokaa nae seat moja naomba nisafiri nae bus moja tu" halafu nikamalizia na Amen,nikaingia kwenye bus

Nimefika kwenye bus nikakaa nikiendelea kusali sala ile ile ya Mungu asaidie yule kaka kuwepo ndani ya bus nililopo,nikajisemea ngoja nitoke ndani ya bus nijifanye naenda washroom ili nimuone hata mara nyingine,nikatoka nikaenda washroom

Mungu ni mkuu jamani,nilivyotoka washroom nikaingia ndani ya bus nikamuona yule kaka ndani ya lile bus,mimi namba 9 yeye 10

Sikuwahi kuona safari fupi kama ile japo kiuhalisia ni safari ndefu mnoooo,masaa yalikimbia fasta kinyama huku tukiwa tumezoeana kama vile tulikuwa tunafahamiana kabla...

Hiyo ni mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo,tumekamilisha mwaka with my man [emoji4][emoji4]
Japo haiwahusu wala haiwasaidii kitu lakini nawaambia tu...nampenda huyu mwanaume

Naona kila kitu changu kinampenda,macho yakimuona napata ile amani ambayo siipati kwa yoyote,mwili wangu umemkubali mana nina hisia kali sana juu yake,nikiisikia sauti yake napata ile hamasa ya kuendelea kumsikiliza akiongea hata kama haongei na mimi

Sijawahi kuwa mdau ya ngono lakini tangu nikutane nae nataka kila muda tuwe peke yetu chumbani

Cheers to many years with my man [emoji1635]

Am sooooooooooo in love!!
Kwaiyo ww ndio ulianza kumtongoza? [emoji12]
 
You just hit and run eeh? Unahisi ni kwanini wanafall hivo? Are you good looking person? Unanukia vizurii🤪
Of course mimi nimerithi sura nzuri ya mama na mwili mzuri wa baba....

Ukiniona tu utagundua ni mtu mpole, mkarimu na mwema, mwenye mvuto na everything you need ambae ulikua unamuota....

So it depend..Ila ukinivutia sikuachi usipo nivutia huwa sikukuli...
 
Of course mimi nimerithi sura nzuri ya mama na mwili mzuri wa baba....

Ukiniona tu utagundua ni mtu mpole, mkarimu na mwema, mwenye mvuto na everything you need ambae ulikua unamuota....

So it depend..Ila ukinivutia sikuachi usipo nivutia huwa sikukuli...
Ok, uko vizuri mkuu👏 so huwa hutulii na babe mmoja? Au huyo yupo na watakaojilengesha unapita nao? 🤭
 
Back
Top Bottom