Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
hiyo ni mali safi kabisa,Pisi kali bomba baadhi za MMU zime like na ku comment
Huwa nawaza Joanah ni mdada kweli ama dume lenye mwandiko wa kike[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo ni mali safi kabisa,Pisi kali bomba baadhi za MMU zime like na ku comment
Huwa nawaza Joanah ni mdada kweli ama dume lenye mwandiko wa kike[emoji848]
Naweza kuamini ni demu tena pisi kalihiyo ni mali safi kabisa,
Nina rafiki angu ni mrembo sana ila kubet jamani 😂 yule dada anabet... Kwahiyo sishangai sana ya Jojo Ku bet...Naweza kuamini ni demu tena pisi kali
Ila duh! ana bet, utata mwingine huo
Depal nakuaminia nitoe tongo tongo, samawani lakini
Yaani we kaka umebadilika kabisa yaani sio wewe ulokuwa ukishusha ile mistari,nadhani wewe ndo unaweza kumpa uzoefu mleta uziInapendeza na kila la kheri...
Eeh[emoji848][emoji849]Nina rafiki angu ni mrembo sana ila kubet jamani [emoji23] yule dada anabet... Kwahiyo sishangai sana ya Jojo Ku bet...
Ni mdada huyo, pisi uelekeo wa kina Mobetto.
Wachaaa!Eeh[emoji848][emoji849]
😂😂Wachaaa!
Kipi kikuchekeshacho[emoji3][emoji848][emoji23][emoji23]
Kule kimasiharaSiku ya pili nimehamia kwenye kigeto changu 2018, nimeenda mazoezi jion.....
Ile narudi nakuta mtoto pisi kali jiran yangu anapika kibarazani...
Ni mtoto wa mzee mmoja anafanya kazi taasisi fulani ndo alikua amehamishiwa Dar kutoka mkoa fulan kanda ya ziwa huko...
Huyo binti yake ndo alikua amemaliza chuo Akaja kuishi na mzee wake baada ya kupata intern kwenye taasisi moja private..
Basi ile nimerudi mazoez nimevua shati namkuta mtoto sura ya kitusi kanapika kenyewe.. Ile kuniona nimekasalimia kanaitika kwa aibu pasipo kuniangalia....
Baada ya kupumzika na kufua nguo za mazoez, nikakaomba namba kakanipa nika kabeep kakasevu namba yangu....
Usiku saa 5 kenyewe kakaniandikia msg kuniuliza kama nimelala....kufupisha stori aliniambia amevutiwa na body yangu na alikua anasisimka kila akinipiga jichooo...
Kesho yake nimetoka kabla ya muda wa kazi mapema kubinjuana palepale gheto kwangu....
Huo ndo ulikua mchezo wetu mpk nahama pale na kwenda dodoma..
Kipindi hiko alikuwa na mtu wake, na aliniomba nisimpenda mana nikifanya hivyo atanipenda sana na akiniangalia haoni kama tutafika mbali hivyo ingemuathiri huko mbelen....
She told me, I was her first Man loved at first sight and getting into sex...
Tulikuja kutana tena tukakumbushia mara mbili nikiwa nimemmsindikiza kwenye harusi ya shost ake...badae akawa hataki tena hizi mambo kwani alinambia yupo kwenye serious relationship na mtu mpya....
Juzi kanipigia jamaa anazingua sana, nikirudi Dar nimcheki atoe stress...
Can't forget you Ney....ooo
[emoji1][emoji1][emoji1]Kule kimasihara
Hii stori ingependeza
Ielekeze huko
Ngoja waje kumpa muongozo....Yaani we kaka umebadilika kabisa yaani sio wewe ulokuwa ukishusha ile mistari,nadhani wewe ndo unaweza kumpa uzoefu mleta uzi
Mbona anakula kirahisi hivo, emu tuma picha yako tukuone[emoji4]Hey guys
Imeshawahi kutokea ile hali umemuona mtu mara moja tu ukatamani awe wako?
Imenikuta stendi ya mabus mkoa fulani kuja Dar
Siku nafika pale nikamuona mkaka mmoja amazing,sijui kwanini alikuwa ananiangalia vizuri namna ile...kimoyo moyo nikaweka sala fupi "ee Mungu huyu kaka hata nisipokaa nae seat moja naomba nisafiri nae bus moja tu" halafu nikamalizia na Amen,nikaingia kwenye bus
Nimefika kwenye bus nikakaa nikiendelea kusali sala ile ile ya Mungu asaidie yule kaka kuwepo ndani ya bus nililopo,nikajisemea ngoja nitoke ndani ya bus nijifanye naenda washroom ili nimuone hata mara nyingine,nikatoka nikaenda washroom
Mungu ni mkuu jamani,nilivyotoka washroom nikaingia ndani ya bus nikamuona yule kaka ndani ya lile bus,mimi namba 9 yeye 10
Sikuwahi kuona safari fupi kama ile japo kiuhalisia ni safari ndefu mnoooo,masaa yalikimbia fasta kinyama huku tukiwa tumezoeana kama vile tulikuwa tunafahamiana kabla...
Hiyo ni mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo,tumekamilisha mwaka with my man [emoji4][emoji4]
Japo haiwahusu wala haiwasaidii kitu lakini nawaambia tu...nampenda huyu mwanaume
Naona kila kitu changu kinampenda,macho yakimuona napata ile amani ambayo siipati kwa yoyote,mwili wangu umemkubali mana nina hisia kali sana juu yake,nikiisikia sauti yake napata ile hamasa ya kuendelea kumsikiliza akiongea hata kama haongei na mimi
Sijawahi kuwa mdau ya ngono lakini tangu nikutane nae nataka kila muda tuwe peke yetu chumbani
Cheers to many years with my man [emoji1635]
Am sooooooooooo in love!!
He hee jirani umepinda weweHii hali mimi inanitokea kwa siku hata mara 5 kwa wasichana tofauti tofauti..
Sasa kwani alikwambia alipomwomba Mungu anaomba kwaajili ya uzinifu?