Love at first sight

Love at first sight

Joanah umenikumbusha mika mingi sana iliyopita,,ilikuwaje kwangu binti alikuja ofsin kuleta barua ya maombi ya kazi siku tu nimemuona alipoingia ofsini nikasema huyu ananifaa kuwa mke.
Nilimhoji vimaswali vya hapa na pale kutaka kujua machache nikamwambia maneno matatu tu, 'Nataka Mtoto Kwako'! basi hakunihoji wala nini akaondoka home kwao, basi bhana nikamwambia aje achukue majibu yake tarehe fulan moyoni nikijisemea hakuna majibu ya kazi hapa. Siku ikafika akaja kusikilizia majibu nilimweka kwny bench kunisubiri mpaka jioni ili tutoke pamoja, alikalia benchi huyoo mpaka akachoka wakat huo huo walikuwepo pia wengine nao walileta maombi ya kazi nikawa nawajibu haraka na kuondoka mlengwa yupo tu amekaa kwny bench. Muda wa kufunga ofisi ukafika nikamwita akaingia nikamwambia pole sana kwa kukaa muda mrefu kazi nyingi na mambo kama hayoo majibu yako ya kazi ni mazuri kwa hiyo tuondoke nyumbani muda ushakwisha, akaniuliza tunaenda wapi nikamjibu twende tukamuone mdogo wangu anaumwa halafu wewe utaondoka baadae kwenda nyumbani kwenu alikuwa anakaa kwa shangaz yake akakubali tukaondoka zetu haooo mpaka kwa dogo, bahati nzur tukamkuta alifurahi sana dogo kuona nimeenda kwake na mgeni muda huu saa 1 usiku na midakika kadhaa hivi,, dogo akatuacha kwa dakika chache kumbe kenda kununua mboga samaki na kuku waliokaangwa chakula kikaandaliwa tukala baada ya kumaliza kula dogo akasemaje mgeni tafadhali ingia bafuni nishakutengea maji ya kuoga ya moto akajaribu ka kugoma vile akidai anataka awahi home atachelewa sna dogo akamwambia nimefanya kwa heshima sio kwa ubaya wewe nenda kaoge taulo nishaweka lipo huko huko,hatimae akakubali akaenda kuoga muda huo saa ngap sasa likuwa mida ka saa 3 kuelekea mishale ya saa 4 hivi usiku,mm na dogo tukabaki tunachek tv dogo akaniambiaje brother nikwambie kitu ehhheee sema huyu ndiye mke wa kuoa!!!
Alivyotoka kuoga dogo akanigeuzia kibao mm akaniambia bro zamu yako nenda kaoge, wakat huo dogo kumbe keshaandaa room maalum kwa ajili kulala niliporudi tu kuoga dogo akaniambia ingia ndani brother mgeni yupo ndani anakusubir kuingia si nikamkuta amejifunika shuka tayar safar ya kwenda kwao kaogopa usiku mwing,,
Weee asikwambie mtu ukiwa umemfeel mtu aisee nilifanya mazito sana siku hiyo goooli 8 mpaka asubuh kumbe siku hiyo zilikuwa ni siku zake za kutunga mimba,,
Leo ni miaka 25 tupo ndani ya ndoa saaafi haina hata mgogoro na Mungu akatujalia watoto 4..maisha haya hayana fomyula ndugu zangu..
Wow..... Napenda story hizi nitawaletea yangu ya OPD ikitiki maana nishaitambulisha nyumbani
 
Siku ya pili nimehamia kwenye kigeto changu 2018, nimeenda mazoezi jion.....

Ile narudi nakuta mtoto pisi kali jiran yangu anapika kibarazani...

Ni mtoto wa mzee mmoja anafanya kazi taasisi fulani ndo alikua amehamishiwa Dar kutoka mkoa fulan kanda ya ziwa huko...

Huyo binti yake ndo alikua amemaliza chuo Akaja kuishi na mzee wake baada ya kupata intern kwenye taasisi moja private..

Basi ile nimerudi mazoez nimevua shati namkuta mtoto sura ya kitusi kanapika kenyewe.. Ile kuniona nimekasalimia kanaitika kwa aibu pasipo kuniangalia....

Baada ya kupumzika na kufua nguo za mazoez, nikakaomba namba kakanipa nika kabeep kakasevu namba yangu....

Usiku saa 5 kenyewe kakaniandikia msg kuniuliza kama nimelala....kufupisha stori aliniambia amevutiwa na body yangu na alikua anasisimka kila akinipiga jichooo...

Kesho yake nimetoka kabla ya muda wa kazi mapema kubinjuana palepale gheto kwangu....
Huo ndo ulikua mchezo wetu mpk nahama pale na kwenda dodoma..

Kipindi hiko alikuwa na mtu wake, na aliniomba nisimpenda mana nikifanya hivyo atanipenda sana na akiniangalia haoni kama tutafika mbali hivyo ingemuathiri huko mbelen....
She told me, I was her first Man to be loved at first sight and to have sex...


Tulikuja kutana tena tukakumbushia mara mbili nikiwa nimemmsindikiza kwenye harusi ya shost ake...badae akawa hataki tena hizi mambo kwani alinambia yupo kwenye serious relationship na mtu mpya....

Juzi kanipigia jamaa anazingua sana, nikirudi Dar nimcheki atoe stress...

Can't forget you Ney....ooo
Anko nimekumiss. Msalimie aunt Ney
 
Kibatala: Je ulikuwa single wakati unatamani huyu kijana awe mwanaume wako?

Joanah: Sina pete kidoleni

Kibatala: Umejibu swali ambalo sijakuuliza, Jibu ni Ndio au hapana.

Joanah: Hapana, lakiniiiiiiiii

Kibatala: Hakuna cha lakini hapa. Je nitakuwa sahihi kuiambia mahakama kuwa ulitamani na kuwaza kufanya kitendo cha usaliti na ukatekeleza azma yako

Joanah: Naomba niende washroom.😂😂😂😂

Nakutania dada yangu . Hongereni.
 
Hey guys

Imeshawahi kutokea ile hali umemuona mtu mara moja tu ukatamani awe wako?

Imenikuta stendi ya mabus mkoa fulani kuja Dar. Siku nafika pale nikamuona mkaka mmoja amazing,sijui kwanini alikuwa ananiangalia vizuri namna ile...kimoyo moyo nikaweka sala fupi "ee Mungu huyu kaka hata nisipokaa nae seat moja naomba nisafiri nae bus moja tu" halafu nikamalizia na Amen,nikaingia kwenye bus

Nimefika kwenye bus nikakaa nikiendelea kusali sala ile ile ya Mungu asaidie yule kaka kuwepo ndani ya bus nililopo,nikajisemea ngoja nitoke ndani ya bus nijifanye naenda washroom ili nimuone hata mara nyingine,nikatoka nikaenda washroom

Mungu ni mkuu jamani, nilivyotoka washroom nikaingia ndani ya bus nikamuona yule kaka ndani ya lile bus, mimi namba 9 yeye 10

Sikuwahi kuona safari fupi kama ile japo kiuhalisia ni safari ndefu mnoooo, masaa yalikimbia fasta kinyama huku tukiwa tumezoeana kama vile tulikuwa tunafahamiana kabla.

Hiyo ni mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo,tumekamilisha mwaka with my man 😊😊 Japo haiwahusu wala haiwasaidii kitu lakini nawaambia tu...nampenda huyu mwanaume

Naona kila kitu changu kinampenda,macho yakimuona napata ile amani ambayo siipati kwa yoyote,mwili wangu umemkubali mana nina hisia kali sana juu yake,nikiisikia sauti yake napata ile hamasa ya kuendelea kumsikiliza akiongea hata kama haongei na mimi

Sijawahi kuwa mdau ya ngono lakini tangu nikutane naye nataka kila muda tuwe peke yetu chumbani

Cheers to many years with my man 🥂

Am so in love!
Naomba nijibu swali ulilouliza 🤣🤣🤣 Mimi imenitokea na mwanaume mwenyewe ndio mume wangu 8yrs now with him, najisemea tu which of the favor of my Lord will I deny? Yan hakuna
Nilikutana nae high school , tukiwa assemble nikamuona mkaka armesing uiii nasisimka hapa nikikumbuka Ile siku. Mtoto nilikua sijawah kua hata na mwanaume akaja nae assemble kumbe nae ndo kaja shule kujiunga form five ayayayay nilikua driven by his body and eyes.
Mkaka akawa arts mie science. nikawa na shoga angu yupo arts,( wake marafiki tunaokaaga watatu) sasa huyu shoga angu nikaeka mkakati kila tukitoka darasan anisubiri nimpitie ili iwe chance ya kumwona huyu mkaka, kumbe nae akawa amenielewa , siku ananisogelea Ile body spray yake ingenifanya niliwe kimasihara🤣🤣🤣🤣 ayayayaa acha niishie hapa maana naona naaza kuharibu.
I love him sooooo much my sensual healer
 
Anajua kwamba una uraibu wa kamari?

Kama hajakukataza kubeti basi tuendelee na mada yetu
 
Back
Top Bottom