Love at first sight

Love at first sight

Kipindi flani ka mwili kalipo anza kunona. Kila jumapili navaa vizuri naenda kanisani. Siku moja Ile nimefika kanisani nimekaa sina hili Wala lile mdada mmoja akageuka nyuma tukakutanisha macho ilikua just waaoo.
Yule dada alitoka alipo kua amekaa akaja moja kwa moja kwenye siti yangu akaomba mtu mmoja ampishe ili azungumze na mimi akiwa na furaha Sana na ndio ilikua first time tumeonana.
Alinichangamkia akanihoji vitu vingi ikawa Kama watu tulio kutana zamani na tulio Juana muda mrefu ali fall in love at first sight sikua interested kuchukua namba yake Ila akapokonya simu yangu huwa siweki password akaandika namba na kujipigia akiwa na furaha Sanaa.

Tukawa tuchati Sana pigiwa Sana simu usiku Akaniambia ili ingiwa na shauku, alinipenda at first sight na hakutaka anipoteze tukawa tuna hang out beach, nikatambulishwa kwa ndugu, akanipeleka kwake maana alikua na kazi nzurii tu, tunaenda church wotee tuka date.

Ni Mimi tu sikumchukulia serious dada wa watu baadae nikawa busy namba niliyo mpa ilipotea na sikuirudisha

Nina matukio mengi Sana ya kupendwa na wadada katika upbringing yangu Leo nimetoa kimojaa nikipata wasaa ntakua naongezea hapa.
Saivi je imekuwaje pangu pakavu sio!!
 
Hey guys

Imeshawahi kutokea ile hali umemuona mtu mara moja tu ukatamani awe wako?

Imenikuta stendi ya mabus mkoa fulani kuja Dar. Siku nafika pale nikamuona mkaka mmoja amazing,sijui kwanini alikuwa ananiangalia vizuri namna ile...kimoyo moyo nikaweka sala fupi "ee Mungu huyu kaka hata nisipokaa nae seat moja naomba nisafiri nae bus moja tu" halafu nikamalizia na Amen,nikaingia kwenye bus

Nimefika kwenye bus nikakaa nikiendelea kusali sala ile ile ya Mungu asaidie yule kaka kuwepo ndani ya bus nililopo,nikajisemea ngoja nitoke ndani ya bus nijifanye naenda washroom ili nimuone hata mara nyingine,nikatoka nikaenda washroom

Mungu ni mkuu jamani, nilivyotoka washroom nikaingia ndani ya bus nikamuona yule kaka ndani ya lile bus, mimi namba 9 yeye 10

Sikuwahi kuona safari fupi kama ile japo kiuhalisia ni safari ndefu mnoooo, masaa yalikimbia fasta kinyama huku tukiwa tumezoeana kama vile tulikuwa tunafahamiana kabla.

Hiyo ni mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo,tumekamilisha mwaka with my man 😊😊 Japo haiwahusu wala haiwasaidii kitu lakini nawaambia tu...nampenda huyu mwanaume

Naona kila kitu changu kinampenda,macho yakimuona napata ile amani ambayo siipati kwa yoyote,mwili wangu umemkubali mana nina hisia kali sana juu yake,nikiisikia sauti yake napata ile hamasa ya kuendelea kumsikiliza akiongea hata kama haongei na mimi

Sijawahi kuwa mdau ya ngono lakini tangu nikutane naye nataka kila muda tuwe peke yetu chumbani

Cheers to many years with my man 🥂

Am so in love!
hapo kati hapooo... KILA KITU CHAKO KINAMPENDA
 
Hahaha nakuonea wivu mkuuu!
Demu alikuwaga mzuri au wa kawaida!
Namaanisha shape na sura!!
Vyote vipo sura,shepu na everything sema TU.
Usipo mpenda mtu basi usimuumize let her/ him go.
Kwangu nili mhurumia dats sikutaka kumuumiza zaidi ndio maana sikukaa nae Sana.
 
Kipindi flani ka mwili kalipo anza kunona. Kila jumapili navaa vizuri naenda kanisani. Siku moja Ile nimefika kanisani nimekaa sina hili Wala lile mdada mmoja akageuka nyuma tukakutanisha macho ilikua just waaoo.
Yule dada alitoka alipo kua amekaa akaja moja kwa moja kwenye siti yangu akaomba mtu mmoja ampishe ili azungumze na mimi akiwa na furaha Sana na ndio ilikua first time tumeonana.
Alinichangamkia akanihoji vitu vingi ikawa Kama watu tulio kutana zamani na tulio Juana muda mrefu ali fall in love at first sight sikua interested kuchukua namba yake Ila akapokonya simu yangu huwa siweki password akaandika namba na kujipigia akiwa na furaha Sanaa.

Tukawa tuchati Sana pigiwa Sana simu usiku Akaniambia ili ingiwa na shauku, alinipenda at first sight na hakutaka anipoteze tukawa tuna hang out beach, nikatambulishwa kwa ndugu, akanipeleka kwake maana alikua na kazi nzurii tu, tunaenda church wotee tuka date.

Ni Mimi tu sikumchukulia serious dada wa watu baadae nikawa busy namba niliyo mpa ilipotea na sikuirudisha

Nina matukio mengi Sana ya kupendwa na wadada katika upbringing yangu Leo nimetoa kimojaa nikipata wasaa ntakua naongezea hapa.
Hadi vicheche wapo kanisani?? Huyo mzoefu ana mivyeti kabisaa.!! Huku uraiani tu huwezi kujizima data hivyo sembuse church jamani 😹😹😹
 
Unafanyaje mpaka unawapata!!!!!
Mwonekano, bahati ,nyota, mvuto wa asili.
Ni ivyo tu sijafanya jitihada zozotee mkuu automatically.
NB.
Kwa Sasa Mimi ni mtu mzima 40's na na familia na watoto sina Tena hizo mambo kwa Sasa tukio nililo simulia ni tukio la zamani.
 
Mwonekano, bahati ,nyota, mvuto wa asili.
Ni ivyo tu sijafanya jitihada zozotee mkuu automatically.
NB.
Kwa Sasa Mimi ni mtu mzima 40's na na familia na watoto sina Tena hizo mambo kwa Sasa tukio nililo simulia ni tukio la zamani.
Kuna sehemu nilikua nafanya field kuna mzee yule itakua yupo kwenye 50's ni handsome ana mvuto
Alikua akiingia ofisini wanafunzi wa field tunabonyezana! ni raha kumtizama.
 
Hadi vicheche wapo kanisani?? Huyo mzoefu ana mivyeti kabisaa.!! Huku uraiani tu huwezi kujizima data hivyo sembuse church jamani 😹😹😹
Hujawai kupenda wewe..yaan uwe na kila kitu maishani..ukose mwanaume TU. Na ukafanikiwa kumuona dream man wako.

Yule dada alinambia alipo niona alikua yupo kwenye mfungo wa kupata mchumba/ mwanaume sahihi na alipo niona roho mtakatifu akamuelekeza anifuate ndipo safari yetu ilipo anzia..

Mapenzi ni kitu Cha ajabu Sanaa...wapo hata walio toa uhai kwa ajili ya mapenzi....Lamony usha wai kupenda/ kupendwa?
 
Kuna sehemu nilikua nafanya field kuna mzee yule itakua yupo kwenye 50's ni handsome ana mvuto
Alikua akiingia ofisini wanafunzi wa field tunabonyezana! ni raha kumtizama.
Nakubali ephen Hutokea 😊☺️ Ila Laamony anabisha kua mtu hawezi fall in love at first sight Tena kanisani 😅
 
Mwonekano, bahati ,nyota, mvuto wa asili.
Ni ivyo tu sijafanya jitihada zozotee mkuu automatically.
NB.
Kwa Sasa Mimi ni mtu mzima 40's na na familia na watoto sina Tena hizo mambo kwa Sasa tukio nililo simulia ni tukio la zamani.
Kama una 40's ni dhahiri we ni wa 1980's huko duuh!
 
Kuna sehemu nilikua nafanya field kuna mzee yule itakua yupo kwenye 50's ni handsome ana mvuto
Alikua akiingia ofisini wanafunzi wa field tunabonyezana! ni raha kumtizama.
Hahaha nimecheka sana mpaka field tena

Nyie mabinti ndo mnaopendaga ma handsome boys

Vipi hamna mmoja wenu aliyefanikiwa kujiweka hapo!!!
 
Hahaha nimecheka sana mpaka field tena

Nyie mabinti ndo mnaopendaga ma handsome boys

Vipi hamna mmoja wenu aliyefanikiwa kujiweka hapo!!!
Sijui kama kuna aliyejiweka ila yule mzee alikua hana habari na sisi zaidi ya salamu tu.
Ni mtu mzima ngozi imeanza kujikunja ni hivyo tu anazeeka na utamu wake.
 
Mwanao nakuzoom tuu unavyo jimwamba fayi hapa 😂😂

Unakumbuka nyimbo ya nitakwenda kumwambia mama aah 😝

Hope you are doing well mzee wangu
Wimbo kwenye shooting yupo MAREHEMU PEMBE NA RUNGU LAKE LA COMRADE KIPEPE 😅

Kwaio mkuu hujawai pata ku fall in love at first sight 😊☺️
 
Wimbo kwenye shooting yupo MAREHEMU PEMBE NA RUNGU LAKE LA COMRADE KIPEPE 😅

Kwaio mkuu hujawai pata ku fall in love at first sight 😊☺️
Imenitokea nikiwa primary kabisa Kuna binti huyo i was catching feelings to her....... Mpaka ikatokea siku tulikuwa na nn tukawa tumekaa wote nilihisi kutua mzigo!!

Nimeruka ruka

Mwingine alikuwa chuo huyu angenifanya nife kabisa......... Uzuri mmi nili mwona presentation Ila siku mtilia maanani

Ila siku nipo canteen nimekaa nikamwona anapita ana vyo cut walk !! Aseeh nilihisi kufa kufa

Nikampata kupitia rafiki ake..... Tukazoeana hapo siku moja akaniambia napenda nikuangalie una nyusi nzuri napenda mwanaume mwenye nyusi😋

Nikasema hapa hapa....... kumbe yeye alishaniweka akilini nami hivyo hivyo.... so far tulimalizia mwaka wa tatu vizuri sana 😂
 
Back
Top Bottom