Love Bites

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,804
Reaction score
12,227
Siku hizi hakuna, zamani nilikua naziona nje nje tu.

Pia siku izi hata umpate mtoto wa form two, hawezi kukuumiza kwa makucha shingoni.
Size zote kwao zinapita.
 
ndo maana navaa pullneck wakati wa summer ..
mmmhhh
 
When you remember how hard it is to change yourself, you begin to understand what little chance we have of changing others.
 
Ah........nakumbuka kuna mtu na mkewe wwalikuwa wanagombana juu ya hili.....mume anataka kumwekea mkewe love bites sehemu zinazoonekana hasa siku za kazi, mke akikataa mume anakasirika kwa nini hataki, ana mtu ofisini ah
 
Afadhali hiyo, mshikaji kakuta mkewe ndo kaharibiwa shingo kabisaaaa, kuuliza kulikoni, dada kasingizia wadudu wamemshambulia! jamaa kakubali maskini hajui lolote, hii niliisikia enzi za group discussion baada ya kuchoka na mtoa mada ndo yeye mwenyewe yalimkuta kwa huyo mshkaji wake!!
 

.......Duh hiyo kali, asa na hao wezi ndo hadi wanamshika mkono mwenye mali??
 
Doggy style na love bite wapi na wapi! Labda alama za makofi tu...lol
 
Mtoto wa form 2 kaka jambazi una kazi nae nini?
 
Doggy style na love bite wapi na wapi! Labda alama za makofi tu...lol

Hah haa em fafanua vizuri makofi sehem gani hasa.

Afu mim kama sielemi vile, love bite inamaanisha nini hasa? au ndo kwamba shughuli ilikuwa pevu?
 
Hah haa em fafanua vizuri makofi sehem gani hasa.

Afu mim kama sielemi vile, love bite inamaanisha nini hasa? au ndo kwamba shughuli ilikuwa pevu?

usijali kiongozi kuna nmwalimi Gaijin apo juu atakupa darsa tu..
 
Siku hizi hakuna, zamani nilikua naziona nje nje tu.

Pia siku izi hata umpate mtoto wa form two, hawezi kukuumiza kwa makucha shingoni.
Size zote kwao zinapita.

Watoto unaochukua wananuka shingo utaiweka wapi love bite, halafu mke wa mtu au mme wa mtu utamwekea wapi love bite, unataka aachike,raha ya lovebite uwe atleast coloured, & no strings attached to ..........................., thank you vry much
 
Siku hizi hakuna, zamani nilikua naziona nje nje tu.

Pia siku izi hata umpate mtoto wa form two, hawezi kukuumiza kwa makucha shingoni.
Size zote kwao zinapita.

Waliopanua ni kina nani Kaka Jambazi??ndo watu ka wewe,mtakutana na mapipa huko ndo mtaelewa somo!Mnapanua wenyewe halafu mnashangaa??????lol:frog:
 
Watoto unaochukua wananuka shingo utaiweka wapi love bite, halafu mke wa mtu au mme wa mtu utamwekea wapi love bite, unataka aachike,raha ya lovebite uwe atleast coloured, & no strings attached to ..........................., thank you vry much

vampire state of mind
 
usijali kiongozi kuna nmwalimi Gaijin apo juu atakupa darsa tu..

Haha Asante Kaizer.....

Love maana yake mapenzi
Bite maana yake kutafuna/kovu

Sasa kaa mapenzi hayapo (pana ngono tu) usitegemee kuiona hiyo kitu
 
vampire state of mind

kaka mi sijui kumtukana mtu ndio maaana nimekupa asante yako, ila ukweli upo palepale mtu mweusi sana love bite haiwezi kuonekana, unless uwe hujui maana ya lovebite ndugu yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…