Love connect Party

^^
Mi nataka sana ila tatizo nina wivu yaani iwe party ya wawili tu!! Christine umeona ee
^^

Hee! Wivu wa nn himidini? Ss ikiwa ya wawili haitakua nzuri bana!hii ya watu kibao ndo nzuri watu wajichahulie wenyewe...teh teh
 
kila mtu akajihudumie kivyake (hamna haja ya mchango)...mtazamo tu!
 
Itakuwaje ikitokea.mtu na ndugu yke wakike wote wakashiriki bila kujuaana wakaja wakaonana kwenye party halafu mdogo mtu kaebua baunsa hapo kk mdogo kama piriton
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…