Hmm! Kwa hiyo kaka yako ndio amepata hiyo bahati?Karibu wifi mtarajiwa.[emoji846][emoji846]
kila lakheri..! Mkioana mje kuleta kadi za mialiko huku kuna boss Kiduku Lilo asikose kwenye kamatiAsanteni kwa wote mlioniandikia jumbe pm
Nimetoa namba kwa mtu mmoja tu ambaye aliugusa moyo wangu.
Bado tunafahamiana kama marafiki na ikimpendeza Mungu tutakuwa wachumba, nashukuru kwa ushauri wenu mzuri katika post yangu nitauzingatia sana
Naomba mtuombee tu na kututakia mema
Asanteni Mungu awabariki wana Jf wote
#Pm imefungwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siri ya familia.[emoji86][emoji86][emoji86]Hmm! Kwa hiyo kaka yako ndio amepata hiyo bahati?
Sawa! Tutajua tuSiri ya familia.[emoji86][emoji86][emoji86]
Kituko alikua ni mdada au?
Tunajuana mtaani huyo....Hornet alipatikanaje
umenikumbusha mbali mkuu
Nawe unatoa namba lini wifi wa mtoa uzi?Karibu wifi mtarajiwa.[emoji846][emoji846]
Nawe unatoa namba lini wifi wa mtoa uzi?
Kuna memes jana nimesoma inasema...kwanini lockdown ikiisha tusianze upya kutafuta wapenzi.Uchumba wetu umeshakomaa, Janga likipita tukavune tu...
Kwamba utakuwa umeshanichoka?Kuna memes jana nimesoma inasema...kwanini lockdown ikiisha tusianze upya kutafuta wapenzi.
Bora ningeweza kukuchoka maana nimeshindwa.Kwamba utakuwa umeshanichoka?
Ila ukifikiria kwa undani....ni majanga.
Lockdown ni jela bila hukumu...tuvumiliane tu
Ndiyo mwelewe kwanini mbwa akifunguliwa anakimbilia nje ghafla