Love Connect

Love Connect

Huu ndo ukweli wa mambo asikudanganye mtu.
IMG_20200407_214704_875.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Nzuri
Reactions: Sax
Asanteni kwa wote mlioniandikia jumbe pm

Nimetoa namba kwa mtu mmoja tu ambaye aliugusa moyo wangu.

Bado tunafahamiana kama marafiki na ikimpendeza Mungu tutakuwa wachumba, nashukuru kwa ushauri wenu mzuri katika post yangu nitauzingatia sana

Naomba mtuombee tu na kututakia mema

Asanteni Mungu awabariki wana Jf wote

#Pm imefungwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
🤗🙂
 
Back
Top Bottom