Love connected

Hii haili mb kabsa mkuu, inanusa mb 500 zinakaa wiki。
N kweli, nadhani hy simu Nshawahi kuitumia ila kipengele n speed mana hy n 2G afu wenzako tupo kwenye 5G.

Ila all in all Fanya namna upate hata katecno kilichochangamka cha 4G tena chini ya 150k unapata mpya dukani.
 
Yani umetumia miaka mitatu mpaka kupata simu halafu unatafuta mke? Kuna maisha baada ya mgegedo,au utakua unamlisha ny

N kweli, nadhani hy simu Nshawahi kuitumia ila kipengele n speed mana hy n 2G afu wenzako tupo kwenye 5G.

Ila all in all Fanya namna upate hata katecno kilichochangamka cha 4G tena chini ya 150k unapata mpya dukani.
Iyo ilikua Itel s12 saivi Infinix mjomba
 
N kweli, nadhani hy simu Nshawahi kuitumia ila kipengele n speed mana hy n 2G afu wenzako tupo kwenye 5G.

Ila all in all Fanya namna upate hata katecno kilichochangamka cha 4G tena chini ya 150k unapata mpya dukani.
Yenye 4G natumia na ID nyingine。
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…