Upendo haujifichi,
Upendo huvumilia yote
Upendo hauhesabu mabaya.
Upendo ni AMRI ya Mungu.
Love is a combination of passion, commitmnt and positive feeling for someone special
What does simple Look But Tough in Wallet mean?
Mapenzi hayavumilii yote,hahahahah loohhhh
babu haya bana..
Niambie za ma Penzi nkalale...
NN sasa hapo wewe unadefine love kivingine
Mr.Rocky habari yako jombaaa?
Mapenzi hayavumilii yote,
Mapenzi huhesabu mabaya,
Mapenzi hujificha,
Mapenzi SI AMRI ya Mungu.
Mapenzi yaweza sababisha DHAMBI, Upendo hausababishi dhambi
Mapenzi huhusisha tabia mbaya, Upendo hauna tabia mbaya.
Mapenzi yana utamu na uchungu, Upendo hauna machungu bali utamu tu.
Mapenzi yana MIPAKA, Upendo hauna mipaka...
Mapenzi yana WIVU, Upendo hauna WIVU.
Mapenzi ni NOOOOMA!
Mapenzi hayavumilii yote,
Mapenzi huhesabu mabaya,
Mapenzi hujificha,
Mapenzi SI AMRI ya Mungu.
Mapenzi yaweza sababisha DHAMBI, Upendo hausababishi dhambi
Mapenzi huhusisha tabia mbaya, Upendo hauna tabia mbaya.
Mapenzi yana utamu na uchungu, Upendo hauna machungu bali utamu tu.
Mapenzi yana MIPAKA, Upendo hauna mipaka...
Mapenzi yana WIVU, Upendo hauna WIVU.
Mapenzi ni NOOOOMA!
Nani ana upendo na mimi?
Nani ana mapenzi na mimi?
Wow! maelezo mazuri sana NN sikujua kama unajua kiswahili hivi....ok baada ya haya how can you tell someone loves you?MJ1…mambo mengine huwaga tunayagumisha (nimeliunda mwenyewe hili neno na sijui kama lipo kwenye kamusi ya mtu) tu sisi wenyewe. Kuyafasili mapenzi kwa lugha yetu ya Kiswahili wala siyo vigumu kama unavyodhania. Mapenzi ni dhana. Ni dhana inayofurahisha nafsi. Ni dhana inayomfanya mtu ajisikie naye ni mtu katika watu. Ni dhana yenye utamu na machungu. Ni dhana inayoweza kuleta raha na shida.
Ni dhana inayoweza kumpatia mtu wasiwasi ama amani. Ni dhana inayoweza kumfanya mtu ajione yuko kwenye dunia tofauti kabisa na wengine. Ni dhana inayoweza kumfanya mtu augue au awe mwenye afya.
Nasema mapenzi ni dhana kwa sababu mapenzi siyo kitu. Mapenzi hayashikiki, mapenzi hayaonekani – huwezi ukanyoosha kidole na kunionyesha eti yale ndiyo mapenzi, mapenzi hayana rangi na wala hayana harufu.
Mapenzi ni dhana iliyopo kichwani. Kutoka kichwani inaelekea moyoni. Ikitoka moyoni inaelekea usoni. Ikitoka usoni inaelekea tumboni. Na ikitoka tumboni inasambaa mwili mzima.
Naona umeamua kuulizia meno mdomoni.....Hivi babu mapenzi na upendo ni vitu viwili tofauti
HhahahaWhat does simple Look But Tough in Wallet mean?
Mapenzi hayavumilii yote,
Mapenzi huhesabu mabaya,
Mapenzi hujificha,
Mapenzi SI AMRI ya Mungu.
Mapenzi yaweza sababisha DHAMBI, Upendo hausababishi dhambi
Mapenzi huhusisha tabia mbaya, Upendo hauna tabia mbaya.
Mapenzi yana utamu na uchungu, Upendo hauna machungu bali utamu tu.
Mapenzi yana MIPAKA, Upendo hauna mipaka...
Mapenzi yana WIVU, Upendo hauna WIVU.
Mapenzi ni NOOOOMA!
Naona umeamua kuulizia meno mdomoni.....
nyoosha kidoletunanyoosha vidole au mkono
Hivi babu mapenzi na upendo ni vitu viwili tofauti
nyoosha kidole
? Tf si umekimbia love wewe?hhahaha
upendo ni ule wa agape na mapenzi ni yale mengine...
upendo hata kwa adui unaamriwa uwe nao lakini mapenzi huwezi kuwa nayo kwa adui