Aloooooooooooomshamba nina mpango wa kutulia na pisi kali siku moja....
ukikanyaga unaruka tena, umeshajua inawezekana kama Joannah alivotoa ushuhuda, kama kweli hutaki kuumizwa basi kataa mahusiano moja kwa moja....Tatizo ni kuruka mkojo na kukanyaga nnya😂🚮. I’m sorry kwa kutumia lugha ngumu🙈
Kumbe shida ni Tendo la ndoa?Hivi kwa hali hii kuna mwanaume anatulia/ anamiliki mwanamke mmoja?
Jibu ni Hakuna
Nini haswa hupelekea wanaume kumiliki wanawake wengi?
Kwa sababu wanaume ni watu wanaopenda tendo la ndoa mara kwa mara, na kwa sababu wake zao hawako tayari kutimiza kiu hii mara kwa mara kulingana na uhitaji, wanaume wengi huchangamkia fursa pale wanapokutana na uwezekano wa kupata tendo la ndoa kirahisi na kwa wepesi.
Wapo,lakini yafaa kila mtu anayetaka mpenzi wa kudumu naye uaminifu uanze na yeye kwanza.Hey Guys! Poleni na majukumu.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Hivi karibuni tumekuwa tukishuhudia matukio mengi na ya kikatili yanayohusishwa na suala zima la mahusiano ya kimapenzi.
Hivi kwa hali hii kuna mwanaume anatulia/ anamiliki mwanamke mmoja?
Nini haswa hupelekea wanaume kumiliki wanawake wengi?
Nini haswa hupelekea wanawake kuwa na wanaume wengi tukiachana na sababu ya pesa?
Ina maana suala la uaminifu limepotea kabisa?
Kuna ndoa ambazo zitafanikiwa kuwa kama za bibi na babu zetu?
Wazazi wetu walifanya nini haswa mpaka wakafanikiwa kudumu kwenye ndoa kwa muda mrefu hivyo? Ina maana hawakuwahi kusalitiana au kukoseana?
Ushahid unao wakusema hakuna?Hivi kwa hali hii kuna mwanaume anatulia/ anamiliki mwanamke mmoja?
Jibu ni Hakuna
Nini haswa hupelekea wanaume kumiliki wanawake wengi?
Kwa sababu wanaume ni watu wanaopenda tendo la ndoa mara kwa mara, na kwa sababu wake zao hawako tayari kutimiza kiu hii mara kwa mara kulingana na uhitaji, wanaume wengi huchangamkia fursa pale wanapokutana na uwezekano wa kupata tendo la ndoa kirahisi na kwa wepesi.
Sasa mtu usiwe na pisi kadhaa kwasababu ya kutaka mapenzi ya dhati???, annh huo ni ushamba bana[emoji4]Hey Guys! Poleni na majukumu.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Hivi karibuni tumekuwa tukishuhudia matukio mengi na ya kikatili yanayohusishwa na suala zima la mahusiano ya kimapenzi.
Hivi kwa hali hii kuna mwanaume anatulia/ anamiliki mwanamke mmoja?
Nini haswa hupelekea wanaume kumiliki wanawake wengi?
Nini haswa hupelekea wanawake kuwa na wanaume wengi tukiachana na sababu ya pesa?
Ina maana suala la uaminifu limepotea kabisa?
Kuna ndoa ambazo zitafanikiwa kuwa kama za bibi na babu zetu?
Wazazi wetu walifanya nini haswa mpaka wakafanikiwa kudumu kwenye ndoa kwa muda mrefu hivyo? Ina maana hawakuwahi kusalitiana au kukoseana?
Mara nyingi uhusiano huchukuliwa kuwa kati ya watu wawili tu. Lakini ukweli wa mambo ni kwamba utamaduni huu sasa unaanza kutiliwa mashakaUshahid unao wakusema hakuna?
MainKumbe shida ni Tendo la ndoa?
Kupenda ni ulemavuMahusiano ni kwaajili ya watu dhaifu.